UJENZI WA KAMPASI YA UDOM NJOMBE WAENDELEA KWA KASI CHINI YA MKANDARASI MZAWA
Ujenzi wa majengo ya Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) katika Mkoa wa Njombe unaendelea kwa kasi chini ya usimamizi wa mkandarasi mzawa kutoka Kampuni ya Dimetoclasa Realhope Limited. Mradi huo ni sehemu ya juhudi za serikali kupeleka elimu ya juu karibu na wananchi na kuinua maendeleo ya elimu na uchumi katika mikoa ya pembezoni. Kampuni ya Dimetoclasa Realhope Limited imepewa jukumu la kuhakikisha majengo yanakamilika kwa viwango na kwa muda uliopangwa,Kukamilika kwa kampasi hiyo kutarahisisha upatikanaji wa elimu ya juu mkoani Njombe na kuchochea fursa za kiuchumi katika maeneo yanayozunguka chuo.

▶︎
Lijue eneo la UDOM Kampasi ya Njombe

▶︎
Wahitimu UDOM Waahidi kuwa Mabalozi wazuri wa Kampasi ya UDOM Njombe

▶︎
UJENZI CHUO KIKUU ARDHI KAMPASI YA DSM KUPITIA MRADI WA HEET WAANZA KWA KASI

▶︎
UDOM WAUNDA KAMATI YA MALALAMIKO TAWI LA NJOMBE

▶︎
How George Gacheru started one of Kigali's best nyama choma joints

▶︎
UDSM na kampuni ya China Jiangxi zasaini mkataba wa ujenzi kampasi ya Kagera itakayogharimu Bil 13

▶︎
UWANJA WA AFCON ARUSHA WAFIKIA PAKUBWA, WACHINA WASHEREHEKEA, RC KIHONGOSI, MWANA FA WASHUHUDIA

▶︎
UCHANGANUZI | Ni ipi sababu ya kusitishwa kwa kozi tisa za ualimu UDOM?

▶︎
Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

▶︎
Baridi ilivyobadili utaratibu wa maisha ya wakazi wa Njombe

▶︎
MKANDARASI WA KAMPASI YA UDOM NJOMBE APEWA SIKU 365 KUKAMILISHA UJENZI

▶︎
ULGSP: Muonekano wa Soko la Kisasa wanalojenga NJOMBE

▶︎
LIVE: BUNGE LINAENDELEA MUDA HUU DODOMA , MKUTANO WA TATU KIKAO CHA SITA

▶︎
UDOM VIEW

▶︎
WATANZANIA WATARAJIE KASI ZAIDI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA: MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

▶︎
🔴 LIVE: IBADA YA SABATO KUU | KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO NJOMBE MJINI

▶︎
