Jamii ya Washiraji inadai imetoka nchini Iraq

katika kaunti za Pwani kuna jamii zinazojulikana kama Wamijikenda. Aidha kuna jamii zingine ambazo hazijulikani kama wakaazi wa Msambweni, Kwale ambao si Wadigo bali ni Wakifundi wanaodai asili yao ni Washiraji waliotokea Iraq. #TV47News