CHIMBUKO LA WAZANZIBARI WENYE ASILI YA BARA LA ASIA-URITHI WETU

Leo katika kipindi cha Urithi Wetu Ahmed Omar anazungumza na Profesa Abdul Sheriff kuhusu asili ya Wazanzibari wenye nasaba kutoka bara la Asia na jinsi watu hao walivyokuwa na mchanganyiko wa wazee kutoka nchi mbalimbali za bara la Asia. Lini watu hao walifika Zanzibar na ilikuwaje nasaba zao zikabakia hadi hii leo? Karibu sana upate majibu.