Mikakati ya Serikali kuondosha nishati chafu ya kupikia.

Waziri wa nishati January Makamba amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo juu ya mikakati ya Serikali katika kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia. Miongoni mwa mikakati watakayofanya ni pamoja na kuhamasisha matumizi ya nishati safi na kupunguza ukataji miti kwa ajili ya mkaa na kuni ambayo inatumiwa na zaidi ya asilimia 90 ya kaya nchini. Pia amebainisha athari za matumizi ya nishati chafu kuwa watu 33,000 wanafariki kila mwaka kutokana na kuvuta sumu zilizopo kwenye moshi unaotokana na matumizi ya nishati ya mkaa na kuni wakati wa kupika. Kwa habari zaidi kuhusu :- Soma: https://jikopoint.co.tz/ Twitter:   / jikopoint   Facebook:   / jikopoint   Iwapo unataka kutushirikisha kwenye show yetu wasialiana nasi kupitia +255 677 088 088 [email protected]