Mikakati ya Serikali kuondosha nishati chafu ya kupikia.
Waziri wa nishati January Makamba amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo juu ya mikakati ya Serikali katika kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia. Miongoni mwa mikakati watakayofanya ni pamoja na kuhamasisha matumizi ya nishati safi na kupunguza ukataji miti kwa ajili ya mkaa na kuni ambayo inatumiwa na zaidi ya asilimia 90 ya kaya nchini. Pia amebainisha athari za matumizi ya nishati chafu kuwa watu 33,000 wanafariki kila mwaka kutokana na kuvuta sumu zilizopo kwenye moshi unaotokana na matumizi ya nishati ya mkaa na kuni wakati wa kupika. Kwa habari zaidi kuhusu :- Soma: https://jikopoint.co.tz/ Twitter: / jikopoint Facebook: / jikopoint Iwapo unataka kutushirikisha kwenye show yetu wasialiana nasi kupitia +255 677 088 088 [email protected]

MHE. RAIS SAMIA AKIFUNGUA KONGAMANO LA KITAIFA LA NISHATI SAFIBYA KUPIKIA JNICC- DAR

Mradi unaolenga kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia Tanzania: UNCDF CookFund

TEKNOLOJIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAMVUTIA BITEKO

VIONGOZI WA TAASISI ZA UMMA KATAVI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA KULINDA MALI ZA SERIKALI.

Kifahamu Kitengo cha Ugomboaji cha MSD

Kutana na wanawake wanaobadili taka kuwa fursa

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU WILAYA YA TANGA LEO 21JUNI 2026

Lebanon and Israel sign US-backed trilateral agreement in Washington

COSP19 CRPD

Even kids will love eggplants with this delicious recipe! Easy and cheap eggplant recipe!

STOP Eating Pumpkin Seeds Until You Fix These 3 Mistakes

IRAN daily village life;Baking bread and rustic dinner

Norwegen - Frankreich, Highlights mit Livekommentar | FIFA WM 2026 | MAGENTA TV

Trump: 'This Is The Greatest Threat To Our Country Since Its Founding...'

BASTIGHG SPIELT EINE UNMÖGLICHE CHALLENGE (XXL FILM)

Venezuela Earthquakes: Death toll nears 1,000 as US aids in search & rescue

"VOLELA SAM I MOG MUŽA, VOLELA SAM I OVOG DRUGOG" Zorana Šulc otvoreno o neverstvu i paralelnoj vezi

KONGAMANO LA VIJANA PLATFORM WILAYA YA TANGA

