TEKNOLOJIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAMVUTIA BITEKO

KIZIMKAZI, Zanzibar: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema lengo la serikali ni kuhakikisha kuwa kila Mtanzania anapika katika mazingira salama na kwamba hatua hii itawezekana kwa kupatikana kwa nishati safi ya kupikia iliyo nafuu, inayopatikana na kutumika kwa urahisi. Amebainisha hayo leo Agosti 23 atika Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia ambalo limeandaliwa na Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Benki ya Uwekezaji ya Tanzania (TIB) kwa kushirikiana na Wizara na Taasisi zote za Serikali lililofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi Zanzibar. "Matarajio yetu ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Nimefarijika sana kuona utekelezaji wa lengo hili kwa vitendo, nimeona teknolojia mbalimbali katika mabanda ya maonesho hapo nje na niendelee kuhamasisha ubunifu wa teknolojia zinazowezesha wananchi kupata nishati safi kwa gharama nafuu," amesema Dk. Biteko Amesema kuwa, suala la nishati safi ya kupikia imekuwa ni ajenda muhimu nchini na duniani kote na Dk. Samia Suluhu Hassan amekuwa ni kinara wa ajenda hiyo Afrika kwa kuibeba kuanzia mwezi Novemba 2022. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAIPAISHA RUVU JKT/WAZIRI WA ULINZI APONGEZA JITIHADA.
▶︎

NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAIPAISHA RUVU JKT/WAZIRI WA ULINZI APONGEZA JITIHADA.

SUMA JKT WASAINI MKATABA wa MRADI wa KUFUNGA MIFUMO ya NISHATI SAFI ya KUPIKIA KWENYE MAKAMBI...
▶︎

SUMA JKT WASAINI MKATABA wa MRADI wa KUFUNGA MIFUMO ya NISHATI SAFI ya KUPIKIA KWENYE MAKAMBI...

TAHARUKI: WANANCHI WA MICHENZANI BLOCK NO (2) WALIA NA KERO YA MAJI MACHAFU.
▶︎

TAHARUKI: WANANCHI WA MICHENZANI BLOCK NO (2) WALIA NA KERO YA MAJI MACHAFU.

JIKO LINALOTUMIA UPEPO, LINAWAKA MASAA MAWILI BILA KUZIMA “NIMELIBUNI”
▶︎

JIKO LINALOTUMIA UPEPO, LINAWAKA MASAA MAWILI BILA KUZIMA “NIMELIBUNI”

IGP WAMBURA, RC SIRRO WALIVYOONGOZA WAOMBELEZAJI KUAGA MWILI WA RPC TABORA
▶︎

IGP WAMBURA, RC SIRRO WALIVYOONGOZA WAOMBELEZAJI KUAGA MWILI WA RPC TABORA

ALICHOKISEMA IGP MSTAAFU SIRRO KUHUSU RPC ABWAO
▶︎

ALICHOKISEMA IGP MSTAAFU SIRRO KUHUSU RPC ABWAO

UZINDUZI WA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WA MWAKA 2024-2034
▶︎

UZINDUZI WA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WA MWAKA 2024-2034

HIZI HAPA FAIDA MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA/ KUNA MADHARA HAYA UKITUMIA KUNI NA MKAA/ .
▶︎

HIZI HAPA FAIDA MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA/ KUNA MADHARA HAYA UKITUMIA KUNI NA MKAA/ .

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA SINGIDA MJINI
▶︎

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA SINGIDA MJINI

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA
▶︎

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA

VILIO VYATAWALA JENEZA LENYE MWILI WA RPC ABWAO LIKISHUSHWA KABURINI
▶︎

VILIO VYATAWALA JENEZA LENYE MWILI WA RPC ABWAO LIKISHUSHWA KABURINI

NDINDI NYORO BREAK SILENCE WHY HE IMPEACHED GACHAGUA
▶︎

NDINDI NYORO BREAK SILENCE WHY HE IMPEACHED GACHAGUA

#PART1: SABINA -"MIMI SIYO KICHAA -NILIKUWA BILIONEA -MUME KANIDUHULUMU MALI na KUOA MKE MWINGINE"..
▶︎

#PART1: SABINA -"MIMI SIYO KICHAA -NILIKUWA BILIONEA -MUME KANIDUHULUMU MALI na KUOA MKE MWINGINE"..

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION
▶︎

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION

WAZIRI NDEJEMBI AAGIZA MJI WA SERIKALI MTUMBA - DODOMA KUWEKWA KITUO CHA KUCHAJI VYOMBO VYA USAFIRI
▶︎

WAZIRI NDEJEMBI AAGIZA MJI WA SERIKALI MTUMBA - DODOMA KUWEKWA KITUO CHA KUCHAJI VYOMBO VYA USAFIRI

🔴 #LIVE:- UFUNGAJI WA KOZI YA MAAFISA WANAFUNZI MKUPUO WA 06 2024/2025
▶︎

🔴 #LIVE:- UFUNGAJI WA KOZI YA MAAFISA WANAFUNZI MKUPUO WA 06 2024/2025

SHUHUDIA TUKIO LIVE RAIS SAMIA AKIPIKA KWA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
▶︎

SHUHUDIA TUKIO LIVE RAIS SAMIA AKIPIKA KWA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

ALI KARUME: MFUMO WA SERIKALI 3 NDO UNAFAA, WE RAIS MZIMA WA ZANZIBAR ANAKUWA WAZIRI KWENYE MUUNGANO
▶︎

ALI KARUME: MFUMO WA SERIKALI 3 NDO UNAFAA, WE RAIS MZIMA WA ZANZIBAR ANAKUWA WAZIRI KWENYE MUUNGANO

EMBE ZA MUYUNI ZANZIBAR ZAZUA BALAA ''utakachojibiwa hukitaki, una majibu Mfukoni''
▶︎

EMBE ZA MUYUNI ZANZIBAR ZAZUA BALAA ''utakachojibiwa hukitaki, una majibu Mfukoni''

#TBC1: AZIMIO LA KIZIMKAZI - RAIS SAMIA AKIPIKA KWA KUTUMIA NISHATI SAFI
▶︎

#TBC1: AZIMIO LA KIZIMKAZI - RAIS SAMIA AKIPIKA KWA KUTUMIA NISHATI SAFI