Hatari! Dawa za ARV zinavyotumika kunenepesha mifugo, madhara kwa binadamu yatajwa

Matumizi ya dawa za kufubaza Virusi vya Ukimwi (ARV) kunenepesha mifugo, yametajwa kushika kasi nchini na kuchangia usugu wa dawa hizo unaotokana na ulaji wa mazao ya mifugo kama vile kuku na nguruwe. Kutokana na hilo, Serikali imelazimika kufanya vikao na wadau wa sekta ya afya na mifugo kuweka mikakati ya pamoja kutafuta suluhisho la udhibiti wa matumizi holela ya dawa na kutoa elimu kwa jamii. Mratibu wa Afya Moja kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Mololo Noah amesema hayo leo Septemba 20, 2024 kwenye kongamano lililokutanisha wadau wa afya, mifugo, watafiti, na wanasayansi kutoka vyuo mbalimbali kujadili changamoto za sekta ya afya lililoandaliwa na Shirika la HJFMRI. "Kumekuwa na ongezeko kubwa la matumizi holela ya ARV kunenepesha kuku na nguruwe hali inayochangia mlaji kupata madhara ya usugu wa dawa kutokana na wingi wa mabaki ya vimelea kwenye kitoweo," amesema. Hata hivyo, amesema bado hawana takwimu kwa sababu wanandelea kufanya utafiti na sasa wako kwenye kampeni ya mkoa kwa mkoa ambayo wakiimaliza watakuwa na uhalisia wa picha kamili na kutoa taarifa. Dk Noah amesema kutokana na changamoto hiyo, sekta ya afya inaendelea na udhibiti na kutoa elimu kwa wananchi kuachana na matumizi yasiyo sahihi.

VIDEO: MADHARA ya KUKATISHA DOZI ya ARV (UKIMWI )
▶︎

VIDEO: MADHARA ya KUKATISHA DOZI ya ARV (UKIMWI )

Podcast #166 Жинхэнэ хүсэмжит бүсгүйтэйгээ гэрлэлээ гэж бодтол, биеэ үнэлэгч байсан
▶︎

Podcast #166 Жинхэнэ хүсэмжит бүсгүйтэйгээ гэрлэлээ гэж бодтол, биеэ үнэлэгч байсан

Dr. Chris Mauki: Sababu zinazofanya mwanamke kupoteza hamu ya tendo la ndoa (HSDD)
▶︎

Dr. Chris Mauki: Sababu zinazofanya mwanamke kupoteza hamu ya tendo la ndoa (HSDD)

MCL DOCTOR S01EP05: JINSI YA KUJILINDA NA HIV BAADA YA KUTEMBEA NA MUATHIRIKA
▶︎

MCL DOCTOR S01EP05: JINSI YA KUJILINDA NA HIV BAADA YA KUTEMBEA NA MUATHIRIKA

NGURUWE NI UTAJIRI: "NDANI YA MIEZI 6 TU UNAANZA KUPATA MAMILIONI" MMOJA ANAZAA HADI WATOTO 21!
▶︎

NGURUWE NI UTAJIRI: "NDANI YA MIEZI 6 TU UNAANZA KUPATA MAMILIONI" MMOJA ANAZAA HADI WATOTO 21!

MBARAWA AFUNGYUKA MAKUBWA KUHUSU SGR
▶︎

MBARAWA AFUNGYUKA MAKUBWA KUHUSU SGR

GAMBO AIBUKIA KANISANI
▶︎

GAMBO AIBUKIA KANISANI

Kauli ya Mpina yatikisa nchi bila kuogopa aitaka serikali iseme kama Tanzania imepigwa mnada
▶︎

Kauli ya Mpina yatikisa nchi bila kuogopa aitaka serikali iseme kama Tanzania imepigwa mnada

DAWA MUHIMU ZA KUWANAZO SHAMBANI KUTIBU MIFUGO YAKO
▶︎

DAWA MUHIMU ZA KUWANAZO SHAMBANI KUTIBU MIFUGO YAKO

BINTI MWENYE UGONJWA WA SELIMUNDU (SICKLE CELL) ANAWEZA KUZAA KAMA WANAWAKE WENGINE
▶︎

BINTI MWENYE UGONJWA WA SELIMUNDU (SICKLE CELL) ANAWEZA KUZAA KAMA WANAWAKE WENGINE

Cherry Asimulia Alivyobakwa na Kundi la Wanaume na Kupata HIV | Mpenzi Wangu Nilimwambia Hakunikataa
▶︎

Cherry Asimulia Alivyobakwa na Kundi la Wanaume na Kupata HIV | Mpenzi Wangu Nilimwambia Hakunikataa

PRIVATE SECTOR AND GOVERNMENT MEET TO DISCUSS THE FUTURE OF BUSINESS IN TANZANIA
▶︎

PRIVATE SECTOR AND GOVERNMENT MEET TO DISCUSS THE FUTURE OF BUSINESS IN TANZANIA

Fahamu kwanini mwenye vvu hawezi kumwambukiza mwenza wake au mtoto anayezaliwa
▶︎

Fahamu kwanini mwenye vvu hawezi kumwambukiza mwenza wake au mtoto anayezaliwa

#live  RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS NETUMBO NANDI-NDAITWAH, IKULU DAR ES SALAAM JUNI 20, 2026
▶︎

#live RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS NETUMBO NANDI-NDAITWAH, IKULU DAR ES SALAAM JUNI 20, 2026

UFAHAMU UGONJWA WA KOO, DALILI NA MATIBABU YAKE, "UGORO UNAWEZA KUSABABISHA SARATANI" - DR. KIMWAGA
▶︎

UFAHAMU UGONJWA WA KOO, DALILI NA MATIBABU YAKE, "UGORO UNAWEZA KUSABABISHA SARATANI" - DR. KIMWAGA

MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'
▶︎

MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'

World Sickle Cell Disease Day 2026 | Understanding Sickle Cell Disease with Dr. Mohamed Msuya.
▶︎

World Sickle Cell Disease Day 2026 | Understanding Sickle Cell Disease with Dr. Mohamed Msuya.

ZIJUE AINA ZA NDIZI NA MASOKO YAKE
▶︎

ZIJUE AINA ZA NDIZI NA MASOKO YAKE

#TBC: THE IMPORTANCE OF BLOOD DONATION
▶︎

#TBC: THE IMPORTANCE OF BLOOD DONATION