Rc Chalamila aibua Rushwa OSBP mtukula
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila ameagiza maofisa mbalimbali wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) wanaofanya kazi kwenye Kituo cha Forodha cha Mtukura kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Uganda kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya Rushwa. RC Chalamila amesema baadhi ya maofisa wa mamlaka hiyo wamekuwa wakipokea rushwa ili kuruhusu mazao mbalimbali kuvushwa kuingia nchini Uganda kwa kutumia nyaraka bandia na hivyo kuhujumu uchumi wa nchi. Ameagiza maofisa hao kujisalimisha wenyewe kwenye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) ili wahojiwe na kwamba wasipojisalimisha watasakwa na kukamatwa kwa nguvu kisha kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

▶︎
MADUDU ALIYOYAKUTA WAZIRI MKUU MAJALIWA TRA YA MUTUKULA, AAGIZA WATUMISHI WANNE WACHUKULIWE HATUA

▶︎
Polisi Dodoma baada ya kuwakamata matapeli

▶︎
WATANZANIA WATARAJIE KASI ZAIDI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA: MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

▶︎
Wanajeshi feki walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma

▶︎
#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
UKIKOSA ELIMU UNAPUNGUKIWA | ELIMU SIO UFAHARI MWENZIO AKIKOSA MSAIDIE

▶︎
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

▶︎
WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA

▶︎
RAIS SAMIA Akimbembeleza MKE wa HAYATI MAGUFULI -DODOMA

▶︎
🔴#LIVE: CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

▶︎
Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

▶︎
MATUKIO YOTE | HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961

▶︎
ECU is MESSING WITH HOLGER! 😮💨

▶︎
JOHN HECHE APAGAWISHWA NA NYOMI LA WANADODOMA, APIGA SPANA NZITO, BILA HOFU AICHAKAZA VIKALI CCM

▶︎
How Proctor’s texts in Karen Read lawsuit could free dangerous criminals

▶︎
🅻🅸🆅🅴 CHADEMA DODOMA WANATANGAZA MAAMUZI YA KUMUUNGA MKONO LISSU, WAMKATAA MBOWE

▶︎
JE WAJUA ASILI YA JINA KWA MUROMBO, KULE ARUSHA?

▶︎
🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

▶︎
