Chorale Tumaini Ahadi Tukuzeni Official

Wimbo huu umeimbwa na Kwaya Tumaini-Ahadi ya Kanisa la CEPAC/Antiokia mujini Goma-DRC kwa ajili ya kushangilia kazi za uumbaji wa Mungu na zaidi kwa ulinzi wake kwetu sisi watu wake. Tunakusihi ujiunge nasi kwa ajili ya kushangilia kazi hizo. This song has been sung by the Tumaini-Ahadi Choir of the CEPAC/Antiokia Church in Goma, DRC, to celebrate God's creation and especially for his protection over us, his people. We invite you to join us in praising these works. Cette chanson a été chantée par la Chorale Tumaini -Ahadi de l'Église CEPAC/Antiokia à Goma, RDC, pour célébrer les œuvres de la création de Dieu et surtout pour célébrer sa protection sur nous, son peuple. Nous vous invitons à vous joindre à nous pour louer ces œuvres.