MKUU WA MKOA MJINI MAGHARIBI ASISITIZA USHIRIKIANO NA USAFI WA MAZINGIRA KATIKA MANISPAA MJINI
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Mheshimiwa Moh'd Ali Abdalla, amewataka watendaji wa Baraza la Manispaa Mjini Madiwani pamoja na Masheha wa Wilaya ya mjini kuimarisha ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ili kuongeza ufanisi na kuharakisha maendeleo ya Manispaa. Mheshimiwa Abdalla ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza katika kikao maalum kilichofanyika katika katika ukumbi wa skuli ya Haile selassie Mjini Unguja. Amesema kuwa ushirikiano wa dhati kati ya wadau hao ndio msingi na suluhisho la changamoto nyingi zinazojitokeza katika utendaji wa kazi za Serikali katika ngazi ya jamii. Aidha Mkuu wa Mkoa alisisitiza umuhimu wa kuimarisha usafi wa mazingira na kupendezesha Mji huku akiagiza Baraza la Manispaa kuanzisha utaratibu wa kufanya usafi wa pamoja mara moja kila mwezi.

Frankreich – Schweden Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

LHRC Yamtolea Uvivu Waziri Katambi: "Katazo la Mikutano ya Siasa ni Kinyume Cha Katiba"

"WAZIRI AMEONGEA KITU AMBACHO HAKIJUI" MADELEKA AMPASUA KATAMBI BILA UOGA

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

France vs. Sweden Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

Listen to Gachagua full speech in Wamunyoro destroying Kasongo after meeting all Nairobi elected MPs

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

Meneja wa Huduma za Taasisi - PPAA, Bw. Paschal Kajuna

PLO Lumumba: Why Iran Is Winning the War Against Israel & the USA | Oil, China & Dollar Explained

Elfenbeinküste – Norwegen Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

فاهم 84 | مشاهد عظمة الله عز وجل | مع الشيخ/ محمد سعد الشرقاوي

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!

Why are Kenyan Gen Zs still protesting? | The Conversation | Focus on Africa - BBC Africa

#HABARI:-MKURUGENZI WA MANISPAA MJINI AMEAHIDI MASHIRIKIANO NA BARAZA LA JIJI

Africa Suffering Because We Elect The 'Worst' To Lead Us – Lumumba

LIVE KASRI: MAANDAMANO YA GenZ KENYA/SAKATA LA BODABODA BUNGENI/MWAKA WA KIISLAMU

UTASHANGAA TAZAMA WABUNGE WALIVYOPIGA KURA BAJETI MPYA YA SERIKALI

Venezuelans in South Florida mourning the loss of thousands of lives in their home country

Copy of 🔴#LIVE: UNATAZAMA MATANGAZO YA KUMUAGA MAREHEMU SACP RICHARD ABWAO

