SUMAYE AKIFAFANUA UUZWAJI WA NYUMBA SERIKALI SWALI LA SAED KUBENEA
Frederick Sumaye alipotangaza nia ya kugombea na kujibu maswali ya waandishi. Swali hili pia amekuwa akiulizwa sana na waziri Dkt. Magufuli Swali : Ukiwa Waziri Mkuu serikalini ndio nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupwa, unasemaje kuhusu hili? Jibu: uuzwaji wa nyumba za serikali, Rais alishauri na Baraza la Mawaziri akakubali. Kuna tume tatu zilifanyia kazi suala hili kwa muda tofauti na zote zilikuja na mapendekezo kuwa nyumba za serikali ni nyingi na serikali inagharamia fedha nyingi kuzikarabati na hivyo tuwauzie watumishi wa Umma. Tulikuwa na nyumba nyingi mfano Breweries na bandari walikuwa na nyumba zaidi ya elfu moja. Nyumba nyingi zilinunuliwa mpaka na wananchi wa kawaida, Rais alishituka kuona ghorofa zinainuka Oysterbay zilipokuwepo nyumba za serikali. Rais akasema lazima waraka uandikwe wauziwe wafanyakazi waliokuwa wakiishi humo na hakuna kuuzwa mpaka baada ya miaka 25 kulingana na mkataba wa manunuzi, na serikali ndio ilifanya tathmini na watumishi wa serikali wadogo kabisa wakauziwa.

Paul Makonda alivyomalizana na mgogoro wa ardhi wa Mzee Sumaye na Wananchi

Waziri Magufuli achukua fomu kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

Breaking News! Rigathi MIDNIGHT Wamunyoro RAID Post ahead of Protests Ruto Must STOP!

Hotuba ya mstaafu Rais MKAPA iliyotikisa DUNIA enzi za Utawala wake/tunaowachagua sio mabwana zetu

CAN'T YOU DEBATE WITHOUT ATTACKING PEOPLE WHO ARE NOT HERE? MP Otiende Amollo faces Ichung'wa

Sumaye aeleza alivyopata wakati mgumu kukubali nafasi ya uwaziri mkuu chini ya Mkapa

Azam TV – Sumaye asema upinzani ndio unaomponza

Wike Fires Back At Tambuwal, Labels Him, Atiku ‘Betrayers’

MAGUFULI AMFUNGUKIA SUMAYE KWAO "WANATUKANA KILA MTU"

Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga

Serikali ya Tanzania wamiliki ardhi ya aliyekuwa waziri mkuu Fredrick Sumaye

Full: Mkutano wa CHADEMA Ruanda-Nzovwe Mbeya

“Rekodi ya Sumaye itaendelea kuwepo, miaka 10 Sumaye"

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone

DKT.BILAL NA DKT.MAGUFULI WALIPOKAGUA MZANI WA VIGWAZA

Kolumbien – DR Kongo Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio

Urgent : Ousmane Sonko humilie Abdou Mbow "sa wayy togal té noppi"

Umubano wa chou chou cheri wa Ndayishimiye na Tshisekedi | Ku meza y’ibiganiro byabo

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

