MFUMO WA ONES STOP CENTRE WAIPAISHA LINDI, WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KITAIFA 2025.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe, Deus Sangu amepongeza mfumo wa kutoa huduma kwa wananchi kwanjia jumuishi unaojulikana kama One Stop Centre uliotumika kwa mara ya kwanza Halmashauri ya Nachingwea ukizikutanisha Taasisi mbalimbali sehemu moja na kutoa huduma kwa wananchi. Mhe. Sangu ametoa pongezi hizo leo Juni 20, 2025 alipotembelea banda la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi na kupata maelezo ya namna ambavyo Halmashauri za Mkoa wa wa lindi unavyotumia mifumo mbalimbali katika kuwahudumia wananchi ukiwemo wa kadi-Alama, One Stop Centre, Mfumo wa utunzaji Mazingira na Mfumo wa ndani wa upimaji utendaji wa kazi. Aidha, amesisitiza matumizi ya mfumo wa One Stop Centre kutumika katika Halmashauri zingine kwani lengo la Serikali na dhamira ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuona wananchi wanafikiwa na huduma pale walipo. @ofisi_ya_rais_utumishi @tume_utumishiwaumma @ortamisemi @msemajimkuuwaserikali @maelezonews @zainabutelacky @jirized

KAMATI YA SIASA  MKOA WA LINDI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.
▶︎

KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

TRA LINDI YAPONGEZWA KUVUKA LENGO LA UKUSANYAJI WA KODI
▶︎

TRA LINDI YAPONGEZWA KUVUKA LENGO LA UKUSANYAJI WA KODI

KAMPENI YA UGAWAJI VYANDARUA VYENYE DAWA KUNUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 489,000 WILAYANI TANGANYIKA
▶︎

KAMPENI YA UGAWAJI VYANDARUA VYENYE DAWA KUNUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 489,000 WILAYANI TANGANYIKA

SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!
▶︎

SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI
▶︎

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI

HOSPITALI YA SOKOINE YAHAMIA MITWERO
▶︎

HOSPITALI YA SOKOINE YAHAMIA MITWERO

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

SERIKALI YATOA MAEKELEZO KWA WANANCHI WA WESTERN—LUHAFWE| HUDUMA ZENYE UTU KUWEZESHWA
▶︎

SERIKALI YATOA MAEKELEZO KWA WANANCHI WA WESTERN—LUHAFWE| HUDUMA ZENYE UTU KUWEZESHWA

MAANDALIZI YA MAONESHO YA MADINI MKOA WA LINDI YAENDELEA VIZURI.
▶︎

MAANDALIZI YA MAONESHO YA MADINI MKOA WA LINDI YAENDELEA VIZURI.

WAHADHILI IFM WAPIGWA MSASA MAANDALIZI YA KUTOA PHD
▶︎

WAHADHILI IFM WAPIGWA MSASA MAANDALIZI YA KUTOA PHD

LINDI MC YAPOKEA ZAIDI YA BILIONI 86. WANAFUNZI WATUMA SALAMU ZA SHUKRANI KWA MHE. RAIS DKT. SAMIA.
▶︎

LINDI MC YAPOKEA ZAIDI YA BILIONI 86. WANAFUNZI WATUMA SALAMU ZA SHUKRANI KWA MHE. RAIS DKT. SAMIA.

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera
▶︎

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera

UJENZI WA CHUO KIKUU UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA
▶︎

UJENZI WA CHUO KIKUU UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY
▶︎

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

Saudi-Arabien – Uruguay Highlights | Gruppe H, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Saudi-Arabien – Uruguay Highlights | Gruppe H, FIFA WM 2026 | sportstudio

Somalia’s Government Implodes: What Next?
▶︎

Somalia’s Government Implodes: What Next?

MIKAKATI YA MKOA WA MOROGORO YAWEKWA WAZI MBELE MBIO ZA MWENGE WA UHURU.
▶︎

MIKAKATI YA MKOA WA MOROGORO YAWEKWA WAZI MBELE MBIO ZA MWENGE WA UHURU.

WANANCHI ELFU 60 KUNUFAIKA NA MRADI MKUBWA WA MAJI WA BILIONI 44. KILWA - LINDI .
▶︎

WANANCHI ELFU 60 KUNUFAIKA NA MRADI MKUBWA WA MAJI WA BILIONI 44. KILWA - LINDI .

🇪🇹Top 50 Massive Projects Transforming Ethiopia
▶︎

🇪🇹Top 50 Massive Projects Transforming Ethiopia

JENGO LA UTAWALA KILWA KUONDOA KERO KWA WATUMISHI NA WANANCHI
▶︎

JENGO LA UTAWALA KILWA KUONDOA KERO KWA WATUMISHI NA WANANCHI