Salama Na NAPE NNAUYE SE6 EP15 |ASKARI WA BRIGEDIA PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 ASKARI WA BRIGEDIA Mbele ya macho ya wengi Nape Mosses Nnauye ni kama SIMBA, anatisha, amejaa, anajiweza na anajitambua na kutambua kile akifanyacho na yake yote anayoyasema na kuyafuatilia. Na kwenye macho ya wale wa karibu yake Nape ni yote hayo na zaidi ni mtu mwenye mapenzi ya dhati kwa wale wa karibu na moyo wake, mcheshi, anapenda watu na ni rafiki wa kweli, yule rafiki mmoja ambaye haijalishi kukoje ila yeye ndiye ambaye atabaki na wewe mpaka mwisho, na atakuambia ukweli pale panapohitajika. Mimi na yeye ni mtu na mdogo wale ambao wamepishana kama miaka minne hivi, huwa tunawasiliana na kuongea tunapokutana, tunaheshimiana na kuaminiana pia. Ila kwa respect ili tuweze kumpata kwenye mazungumzo haya tuliamua kumtumia mdogo wake Kipenzi anayeenda kwa jina la Bimdo ili hata kama alikua na mambo mengi kiasi gani, au ratiba yake imebana ki vipi, basi kwa wawili sisi angefanya linalowezekana ilimradi atufurahishe, na tulifanikiwa 😄. Baba na mume na Kaka na Kiongozi kwa watu wake wa Mtama, Nape ni moja ya nguzo imara za Chama Cha Mapinduzi, naamini mpaka leo bado iko hivyo, kipindi cha uchaguzi wa Mwaka 2015 ndo tulimuona zaidi, wakati Chama chake pendwa kilipokua kinakabiliwa na upinzani wa mkubwa kutoka kwa vyama vyengine vya Siasa. Nape yeye ndo alikua mstari wa mbele wa kupanga mashambulizi na mipango sahihi ya kuweza kupata mgombea sahihi ambaye Chama kingemsimamisha na kuweza kupata dhamana kutoka kwa wa Tanzania zaidi ya milioni 55 ambao kwa hamu tulikua tukingojea kutambua jina na mtu ambaye Chama kingempa dhamana. Haikua mechi ndogo Ila kama tunavyofahamu sasa imebaki story tu. CCM walimsimamisha Hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli na mambo mengine mengi yakaanzia hapo. Sasa hayo mambo mengine mengi yaloanzia hapo ndo moja ya sababu nyingi zilizotufanya sisi tutake kuongea na Nape, akiwa imara na alojaa tabasamu yeye hakua na hiyana kujibu maswali yetu mengi ya kutaka kujua mawazo yake juu ya mambo mengi ambayo kama Taifa na yeye kama mwanasiasa tulipitia. Kuanzia jinsi CCM ilivyoshinda uchaguzi, teuzi, kutumbuliwa, issue ya aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kipindi hicho, mambo ya kutolewa silaha hadharani, issue ya yeye kwenda Ikulu kuomba msamaha, miaka 6 ya JPM na Tanzania kama taifa na mueleko wake, niamini nikisema humu yote tuligusia na yeye alitujibu. Nape ni mmoja ya watoto wa Marehemu Brigedia Mosses Nnauye, mmoja wa watu imara sana wa nchi hii, pia tulitaka atuambie mahusiano yake na Marehemu Mzee wake, kama kuna lolote amejifunza kutoka kwake na kama yeye ndo alikua chachu ya yeye kuwa anafanya ayafanyayo sasa (kutumikia wananchi wake wa Mtama) na alituelezea kwa kirefu tu juu ya wasifu wa Mzee wake. Kuna mahusiano yake pia na Marehemu Ruge Mutahaba, ukaribu wake na January Makamba na Zitto Kabwe, events za miaka minne mitano iliyopita zimemfunza nini hasa? Majibu yote ya maswali tele tulokua nayo, Nape alitupatia. Yangu matumaini nawe uta enjoy mazungumzo haya kama sisi tulivyo enjoy. Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ ‪ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack ‪YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali    • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown   Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Salama Na NAPE NNAUYE SE6 EP15 |ASKARI WA BRIGEDIA PART 2| SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na NAPE NNAUYE SE6 EP15 |ASKARI WA BRIGEDIA PART 2| SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Salama Na MwanaFA Ep 10 | KARAMA Part 1
▶︎

Salama Na MwanaFA Ep 10 | KARAMA Part 1

“ልክ አልነበርንም!” ቆይታ ከጋሽ ገስጥ ተጫኔ (ደራሲ) ጋር! ክፍል - 1 @endalegetamultimedia #zagol_book_bank #history
▶︎

“ልክ አልነበርንም!” ቆይታ ከጋሽ ገስጥ ተጫኔ (ደራሲ) ጋር! ክፍል - 1 @endalegetamultimedia #zagol_book_bank #history

Nape Nnauye atishiwa bastola kwenye mkutano na waandishi wa habari
▶︎

Nape Nnauye atishiwa bastola kwenye mkutano na waandishi wa habari

FARID KUBANDA ( FID Q ) - DEVELOPMENT, CITIZENS, MUSIC, AI. ( MINDSET S01E04 )
▶︎

FARID KUBANDA ( FID Q ) - DEVELOPMENT, CITIZENS, MUSIC, AI. ( MINDSET S01E04 )

Kutoka Ikulu hadi kesi ya Jaribio la Mauaji: Maisha ya Anasa ya Mtoto wa mwisho wa Mugabe yanatisha
▶︎

Kutoka Ikulu hadi kesi ya Jaribio la Mauaji: Maisha ya Anasa ya Mtoto wa mwisho wa Mugabe yanatisha

Salama Na Master Jay SE6 EP21 | NDUGU MHANDISI PART 1| SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na Master Jay SE6 EP21 | NDUGU MHANDISI PART 1| SendTip MPESA LIPA NO 5578460

IS IT TRUE THAT ALLY BI IS JUST A HYPE DJ WHO HAS FOUND FAME AND FORTUNE
▶︎

IS IT TRUE THAT ALLY BI IS JUST A HYPE DJ WHO HAS FOUND FAME AND FORTUNE

Panama – England Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Panama – England Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio

Full Video: Nape Nnauye Alivyonyooshewa Bastola Kuzuiwa Mkutano na Waandishi wa Habari
▶︎

Full Video: Nape Nnauye Alivyonyooshewa Bastola Kuzuiwa Mkutano na Waandishi wa Habari

Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version
▶︎

Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version

Salama Na DEO GRATIUS SE6 EP64 | PRIVILEGED?! PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na DEO GRATIUS SE6 EP64 | PRIVILEGED?! PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

NAPE BUNGENI: "Ametusaliti, Hili ni Bomu Kubwa Tuambieni Ukweli"
▶︎

NAPE BUNGENI: "Ametusaliti, Hili ni Bomu Kubwa Tuambieni Ukweli"

THE CLASSIC MAALIM NASH :TOKA NASH Y HADI MAALIM/NILIWAHI FUKUZWA STUDIO KAMA MBWA /KUTAPELIWA ZENJI
▶︎

THE CLASSIC MAALIM NASH :TOKA NASH Y HADI MAALIM/NILIWAHI FUKUZWA STUDIO KAMA MBWA /KUTAPELIWA ZENJI

Ethiopia - ደቡብ አፍሪካ አደገኛው የቀጠሮ ቀንጁን 30 ሁሉም ነገር ያበቃል!? ቻዎ ቻዎ ኬፕታወን!
▶︎

Ethiopia - ደቡብ አፍሪካ አደገኛው የቀጠሮ ቀንጁን 30 ሁሉም ነገር ያበቃል!? ቻዎ ቻዎ ኬፕታወን!

CHRIS MWAHANGILA   |   NASEMA ASANTE  (Official Video)  4K
▶︎

CHRIS MWAHANGILA | NASEMA ASANTE (Official Video) 4K

Aliko Dangote Speaks on Dangote Refinery IPO, Power & Africa’s Economy
▶︎

Aliko Dangote Speaks on Dangote Refinery IPO, Power & Africa’s Economy

Maisha ya January Makamba | Asimulia kuhusu Urafiki na Ruge | Amtaja Msanii anayemkubali.
▶︎

Maisha ya January Makamba | Asimulia kuhusu Urafiki na Ruge | Amtaja Msanii anayemkubali.

Ethiopia is About to Explode.
▶︎

Ethiopia is About to Explode.

US-Israeli war on Iran: built on lies? | Mehdi Hasan and David Des Roches | Head to Head
▶︎

US-Israeli war on Iran: built on lies? | Mehdi Hasan and David Des Roches | Head to Head