Salama Na NAPE NNAUYE SE6 EP15 |ASKARI WA BRIGEDIA PART 2| SendTip MPESA LIPA NO 5578460

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 ASKARI WA BRIGEDIA Mbele ya macho ya wengi Nape Mosses Nnauye ni kama SIMBA, anatisha, amejaa, anajiweza na anajitambua na kutambua kile akifanyacho na yake yote anayoyasema na kuyafuatilia. Na kwenye macho ya wale wa karibu yake Nape ni yote hayo na zaidi ni mtu mwenye mapenzi ya dhati kwa wale wa karibu na moyo wake, mcheshi, anapenda watu na ni rafiki wa kweli, yule rafiki mmoja ambaye haijalishi kukoje ila yeye ndiye ambaye atabaki na wewe mpaka mwisho, na atakuambia ukweli pale panapohitajika. Mimi na yeye ni mtu na mdogo wale ambao wamepishana kama miaka minne hivi, huwa tunawasiliana na kuongea tunapokutana, tunaheshimiana na kuaminiana pia. Ila kwa respect ili tuweze kumpata kwenye mazungumzo haya tuliamua kumtumia mdogo wake Kipenzi anayeenda kwa jina la Bimdo ili hata kama alikua na mambo mengi kiasi gani, au ratiba yake imebana ki vipi, basi kwa wawili sisi angefanya linalowezekana ilimradi atufurahishe, na tulifanikiwa 😄. Baba na mume na Kaka na Kiongozi kwa watu wake wa Mtama, Nape ni moja ya nguzo imara za Chama Cha Mapinduzi, naamini mpaka leo bado iko hivyo, kipindi cha uchaguzi wa Mwaka 2015 ndo tulimuona zaidi, wakati Chama chake pendwa kilipokua kinakabiliwa na upinzani wa mkubwa kutoka kwa vyama vyengine vya Siasa. Nape yeye ndo alikua mstari wa mbele wa kupanga mashambulizi na mipango sahihi ya kuweza kupata mgombea sahihi ambaye Chama kingemsimamisha na kuweza kupata dhamana kutoka kwa wa Tanzania zaidi ya milioni 55 ambao kwa hamu tulikua tukingojea kutambua jina na mtu ambaye Chama kingempa dhamana. Haikua mechi ndogo Ila kama tunavyofahamu sasa imebaki story tu. CCM walimsimamisha Hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli na mambo mengine mengi yakaanzia hapo. Sasa hayo mambo mengine mengi yaloanzia hapo ndo moja ya sababu nyingi zilizotufanya sisi tutake kuongea na Nape, akiwa imara na alojaa tabasamu yeye hakua na hiyana kujibu maswali yetu mengi ya kutaka kujua mawazo yake juu ya mambo mengi ambayo kama Taifa na yeye kama mwanasiasa tulipitia. Kuanzia jinsi CCM ilivyoshinda uchaguzi, teuzi, kutumbuliwa, issue ya aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kipindi hicho, mambo ya kutolewa silaha hadharani, issue ya yeye kwenda Ikulu kuomba msamaha, miaka 6 ya JPM na Tanzania kama taifa na mueleko wake, niamini nikisema humu yote tuligusia na yeye alitujibu. Nape ni mmoja ya watoto wa Marehemu Brigedia Mosses Nnauye, mmoja wa watu imara sana wa nchi hii, pia tulitaka atuambie mahusiano yake na Marehemu Mzee wake, kama kuna lolote amejifunza kutoka kwake na kama yeye ndo alikua chachu ya yeye kuwa anafanya ayafanyayo sasa (kutumikia wananchi wake wa Mtama) na alituelezea kwa kirefu tu juu ya wasifu wa Mzee wake. Kuna mahusiano yake pia na Marehemu Ruge Mutahaba, ukaribu wake na January Makamba na Zitto Kabwe, events za miaka minne mitano iliyopita zimemfunza nini hasa? Majibu yote ya maswali tele tulokua nayo, Nape alitupatia. Yangu matumaini nawe uta enjoy mazungumzo haya kama sisi tulivyo enjoy. Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ â€ȘApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack â€ȘYouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali    ‱ Marco Chali Feat One The Incredible & Msam...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown   Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Maua Sama Asimulia Siku Ya Kwanza Kukutana Na Ruge "Alisema Kazi Ipo" | SALAMA NA MAUA SAMA PART 2
▶

Maua Sama Asimulia Siku Ya Kwanza Kukutana Na Ruge "Alisema Kazi Ipo" | SALAMA NA MAUA SAMA PART 2

Salama Na EDO KUMWEMBE Ep 42| MWENYE SHOKA HAKOSI KUNI Part 1
▶

Salama Na EDO KUMWEMBE Ep 42| MWENYE SHOKA HAKOSI KUNI Part 1

Maamuzi ya Nape Nnauye baada ya Clouds kuvamiwa
▶

Maamuzi ya Nape Nnauye baada ya Clouds kuvamiwa

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

Kidum and The Boda Boda Band at Kulture Event Carnivore grounds
▶

Kidum and The Boda Boda Band at Kulture Event Carnivore grounds

DULLA MAKABILA AFICHUA USICHOKIJUA KUHUSU MANARA NA KOBISI KIKARA, YEYE NA MADEMU DAM DAM
▶

DULLA MAKABILA AFICHUA USICHOKIJUA KUHUSU MANARA NA KOBISI KIKARA, YEYE NA MADEMU DAM DAM

Hotuba ya January Makamba ya Kutangaza Nia Kuomba Nafasi ya Urais
▶

Hotuba ya January Makamba ya Kutangaza Nia Kuomba Nafasi ya Urais

Afghanistan most cheap street food | Kabuli pulao | biryani | Roasted chicken | street food
▶

Afghanistan most cheap street food | Kabuli pulao | biryani | Roasted chicken | street food

Salama Na MSIGWA SE6  EP01 FULL SHOW | SEMA PART 1 | SendTip Through MPESA  LIPA NO 5578460
▶

Salama Na MSIGWA SE6 EP01 FULL SHOW | SEMA PART 1 | SendTip Through MPESA LIPA NO 5578460

Mkasi - SO5E08 With Nape
▶

Mkasi - SO5E08 With Nape

Qui a tuĂ© Monferrier Dorval ? Les zones d'ombre d'un crime d'État
▶

Qui a tuĂ© Monferrier Dorval ? Les zones d'ombre d'un crime d'État

MZEE SAID!SIMBA NA YANGA WOTE AWATOPOTEZA MCHEZO BINGWA YANGA/KWA NIN FINAL IPELEKWE GOMBANI PEMBA?
▶

MZEE SAID!SIMBA NA YANGA WOTE AWATOPOTEZA MCHEZO BINGWA YANGA/KWA NIN FINAL IPELEKWE GOMBANI PEMBA?

Salama Na TAJI Ep 45 | TABASAMU LA SWAHIBA Part 1
▶

Salama Na TAJI Ep 45 | TABASAMU LA SWAHIBA Part 1

PART 1: MZEE MAKAMBA ATOA LA MOYONI MBELE YA MSTAAFU KIKWETE NA KINANA MIAKA 20 KIFO CHA BRIG NNAUYE
▶

PART 1: MZEE MAKAMBA ATOA LA MOYONI MBELE YA MSTAAFU KIKWETE NA KINANA MIAKA 20 KIFO CHA BRIG NNAUYE

MC GARA B ALIVYO MTETEA BARNABA KUHUSU PICHA ZA MAHABA NA YAMMY
▶

MC GARA B ALIVYO MTETEA BARNABA KUHUSU PICHA ZA MAHABA NA YAMMY

Nape Nnauye atishiwa bastola kwenye mkutano na waandishi wa habari
▶

Nape Nnauye atishiwa bastola kwenye mkutano na waandishi wa habari

Afghanistan most cheap Street food | Kabuli pulao, Roasted chicken, Biryani recipe | Street food
▶

Afghanistan most cheap Street food | Kabuli pulao, Roasted chicken, Biryani recipe | Street food

Aliko Dangote: Building Africa's industrial future from the ground up | Podcast | In Good Company
▶

Aliko Dangote: Building Africa's industrial future from the ground up | Podcast | In Good Company

Salama Na TOGOLANI SE6 EP09|CIVIL SERVANT PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶

Salama Na TOGOLANI SE6 EP09|CIVIL SERVANT PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460

KAULI YA NAPE ILIYOZUA MJADALA MTANDAONI, MWENYEWE AOMBA RADHI - ILIKUWA UTANI TUU"
▶

KAULI YA NAPE ILIYOZUA MJADALA MTANDAONI, MWENYEWE AOMBA RADHI - ILIKUWA UTANI TUU"