Maneno ya Lowassa Kwenye Msiba wa Marehemu Kingunge
Mzee Kingunge Kuzikwa Jumatatu Dar MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru anatarajiwa kuzikwa Jumatatu Februari 5, 2018 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa kamati ya maziko ya mwanasiasa huyo, Omary Kimbau amesema Kingunge atazikwa saa tisa alasiri. Hata hivyo, amesema leo Ijumaa Februari 2,2018 kuwa utaratibu na mipango mingine inaendelea kufanyika. Kingunge amefariki dunia leo alfajiri akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Alikuwa akiuguza majeraha baada ya kung’atwa na mbwa mwishoni mwa mwaka jana nyumbani kwake. Mpwa wa Kingunge, Tony Mwiru amesema familia inapitia kipindi kigumu kwa kuwa hivi karibuni wamempoteza mama yao, Peras. Enock Mwiru ambaye ni mdogo wa marehemu na mtangazaji wa zamani wa iliyokuwa Redio Tanzania (RTD), amesema Kingunge alikuwa kiunganishi cha familia. Mabalozi Juma Mwapachu na Ali Mchumo waliowahi kufanya kazi na Kingunge wamefika nyumbani kwa marehemu Kijitonyama kuhani msiba huo.

MAZIKO YA KINGUNGE MWANZO MWISHO. VIONGOZI WATOA MAONI YAO

BALOZI MWAPACHU ASIMULIA USIYOYAJUA ALIVYOITWA NA MKAPA "ALINAMBIA NATAKA UWE BALOZI"

MAALIM SEIF - "LIPUMBA ALIKOSEA SANA, LOWASSA ALIMCHAGUA YEYE"

MWANZO MWISHO: Kingunge asimulia alivyong'atwa na mbwa wake

TAZAMA VIONGOZI WALIVYOMIMINIKA KUMUAGA KINGUNGE

TV ART SLIDESHOW 24/7 | Vintage Floral Gallery 🌼4K Framed Art Screensaver for Living Room

Lowassa alivyowasili mbele ya maelfu ya Watanzania Arusha

Lowassa Explains What He Was Interviewed By DPP, Mbowe Also Exploded Deeply About Revival

How Lowassa and other leaders bade farewell to the body of Kingunge’s wife

SAFARI YA MWISHO YA KINGUNGE NGOMBALE MWIRU

KINACHO ENDELEA MASAKI NYUMBANI KWA ALIYE KUWA WAZIRI MKUU MSTAAFU MAREHEMU EDWARD LOWASA

WAZIRI WA ZAMANI AFARIKI, FAMILIA YASIMULIA CHANZO

Kikwete atajwa kwenye hili / Lowassa / Helen Kijo Bisimba

BAKARI MWAPACHU AMZUNGUMZIA MAREHEMU BALOZI SIR GEORGE KAHAMA

MSAFARA wa WAZIRI MKUU MAJALIWA UKIWASILI MSIBANI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU MSUYA ALIYEFARIKI ASUBUHI

LOWASSA ATANGAZA KURUDI CCM, 'NIMERUDI NYUMBANI'

Lowassa na mkewe walivyotinga Ikulu kwa Rais Magufuli | Amkimbilia | Wazungumza pamoja

"Taifa limempoteza mpiganaji maarufu na mwenye uwezo." Edward Lowassa

Mama Samia atuwa Zanzibar kuipa pole familia ya Mwinyi kwa kufiwa na mwanafamilia mwenzao

