MAALIM SEIF Amwambia ZITTO - "Nilifukuzwa CCM, Wewe sio MNAFKI"

MAALIM SEIF Amwambia ZITTO - "Nilifukuzwa CCM, Wewe sio MNAFKI" KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amemkabidhi maalim Seif Hamad kadi namba moja ya chama hicho ambayo imeshalipiwa kwa kipindi cha miaka 10 kwa ajili ya kuanza rasmi kazi ya siasa ndani ya chama hicho. “Mimi nina kadi namba nane… Kadi namba moja kuna mtu aliiwahi na kwa heshima kadi hii imekwenda kwa Maalim Seif,” amesema Zitto. Shughuli ya kukabidhi kadi hizo imefanyika leo Machi 19, 2019, makao makuu ya chama hicho yaliyopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Viongozi wengine ambao wamekabidhiwa kazi ni Ismail Jussa, Mbalala Maharangande, Sheweji Mketo na mmoja wa wanasiasa machachari, Juma Duni Haji, amekabidhiwa kadi namba kumi. ”Kadi maalumu zimekuwa nyingi kwelikweli maana tumepokea watu muhimu mpaka ilibidi tunyang’anyane lakini namba 1, 6, 10 na 17 zote zimekwenda kwa viongozi walioambatana na Maalim,” alisema Zitto. ”Naomba tusiingie kwenye mtego wa msajili, hivyo tutakwenda kusajili kadi zetu kwenye matawi yetu ili tusije kuulizwa kama makao makuu kuna tawi,” amesema Zitto Kabwe. Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi, Maalim Seif, amesema yeye ni mara ya kwanza kukanyaga ofisi za ACT- Wazalendo lakini anajiona ni mwenyeji. #ACTWAZALENDO #ZITTOKABWE https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

MAALIM SEIF - "MAGUFULI AJI - TATHMINI ANATENDA HAKI?"
▶︎

MAALIM SEIF - "MAGUFULI AJI - TATHMINI ANATENDA HAKI?"

Speaker Jacob Oboth watches PM Nabbanja and LoP Joel Ssenyonyi respond to eachother in parliament
▶︎

Speaker Jacob Oboth watches PM Nabbanja and LoP Joel Ssenyonyi respond to eachother in parliament

🔴#LIVE: DR NCHIMBI leo kaamua KUFUNGUKA MAZITO asimamia MAELEKEZO YA RAIS SAMIA
▶︎

🔴#LIVE: DR NCHIMBI leo kaamua KUFUNGUKA MAZITO asimamia MAELEKEZO YA RAIS SAMIA

Maalim Seif atangaza kuhamia ACT Wazalendo
▶︎

Maalim Seif atangaza kuhamia ACT Wazalendo

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera
▶︎

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane
▶︎

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane

JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 1]
▶︎

JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 1]

HANS: YANGA WANA MATUMIZI MABAYA YA  FEDHA, JEMEDARI AGUSIA KICHAPO CHA MWAKINYO, HAJIPANGI
▶︎

HANS: YANGA WANA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA, JEMEDARI AGUSIA KICHAPO CHA MWAKINYO, HAJIPANGI

Obi Sues Kenneth Okonkwo 5bn+Okpebholo: No Vacancy In Aso, Blames Kidnappings On Opposition|Ojy Okpe
▶︎

Obi Sues Kenneth Okonkwo 5bn+Okpebholo: No Vacancy In Aso, Blames Kidnappings On Opposition|Ojy Okpe

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA
▶︎

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State
▶︎

SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

HON.NDUHUNGIREHE: "U BURUNDI TUBANYE NABI." KU MATORA MURI OIF,FRANCE,U BWONGEREZA, USA,MOZAMBIQUE.
▶︎

HON.NDUHUNGIREHE: "U BURUNDI TUBANYE NABI." KU MATORA MURI OIF,FRANCE,U BWONGEREZA, USA,MOZAMBIQUE.

MAPUNGUFU,  UBORA WA BAJETI KUU ZA TANZANIA NA KENYA KILA MWAKA UREMBO!!
▶︎

MAPUNGUFU, UBORA WA BAJETI KUU ZA TANZANIA NA KENYA KILA MWAKA UREMBO!!

Politics Chat, June 11, 2026
▶︎

Politics Chat, June 11, 2026

Leo #MariaSpaces tunajadili: #KatibaMpya tunayodai na Tanganyika ndani ya Muungano #FreeTunduLissu
▶︎

Leo #MariaSpaces tunajadili: #KatibaMpya tunayodai na Tanganyika ndani ya Muungano #FreeTunduLissu

Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Membe wakutana | Mkutano Mkuu wa ACT wazalendo
▶︎

Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Membe wakutana | Mkutano Mkuu wa ACT wazalendo

Trump Preps for 80th Birthday, Threatens to Hit Iran, Knicks Historic Win & Elon Musk Trillionaire!?
▶︎

Trump Preps for 80th Birthday, Threatens to Hit Iran, Knicks Historic Win & Elon Musk Trillionaire!?

Jeffrey Sachs LIVE | Sachs Brutally Roasts Donald Trump, Drops Shocking War Prediction | Netanyahu
▶︎

Jeffrey Sachs LIVE | Sachs Brutally Roasts Donald Trump, Drops Shocking War Prediction | Netanyahu

MVUTANO WA CHADEMA NA MAHAKAMA KESI YA LISSU, VISIPIKA VYAZUIWA KARIAKOO
▶︎

MVUTANO WA CHADEMA NA MAHAKAMA KESI YA LISSU, VISIPIKA VYAZUIWA KARIAKOO

WESTERN IN STAND STILL AS GACHAGUA ADDRESS MILLIONS OF LUHYA CHANTING WANTAM!!
▶︎

WESTERN IN STAND STILL AS GACHAGUA ADDRESS MILLIONS OF LUHYA CHANTING WANTAM!!