"Nilibadili Dini, Marafiki Wakaanza Kunitisha, Ilikuwa Inanitesa Sana" |SALAMA NA GODLIVER PT1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 LUVVIE Jina la episode litosheleze kumuelezea mgeni wetu wa wiki hii, hodari, mahiri, mcheshi na mwenye kujielewa ila kikubwa kuliko yote ni Mwanamke. Alipotoka na mipango yake ya maisha ilikua ni moja ya chachu zilizotufanya mimi na wenzangu tuone anastahili kukaa kitako kwenye kiti chetu kile kilichopauka. Na hakukua na mjadala juu ya yeye kuipata nafasi hii. Godliver kwa sasa ndo nyota yetu ing’arayo kila kona ya bara na dunia kwa ujumla, kwa imani niliyonayo kwake naamini huu ni mwanzo tu wa mengi makubwa na mazuri na pengine ya kushangaza na kuiandikia historia Taifa letu yanakuja, kiu hiyo ya kupata hayo na zaidi unaiona kwenye macho yake na kujiamini alikonako. Ukibahatika na kuangalia kazi zake basi ndo utazidi kuamini na kumtakia kila lenye kheri. Mitihani na kupanda na kushuka kwenye maisha yake naye alipitia kama kila mmoja wetu, jinsi alivyokua anayapangua na kutengeneza kinywaji kila mara alipokua anarushiwa malimao kumemfanya awe na kiu zaidi na kutaka kusonga mbele zaidi kwa kasi ya majaaliwa. Alianza kama mas’hara tu na mengine ni historia tu kwa sasa. Mama wa mtoto mmoja ambaye ni kila kitu kwake, Godliver ananihadithia moja ya mikasa mingi ilowahi kumkuta maishani mwake, na pia amenikumbusha umuhimu wa kuchagua marafiki na watu ambao unawaweka karibu kwenye maisha yako. Alishawahi kubadili dini na kuwa Muislamu, bahati nzuri alikua na wazazi ambao ni waelewa sana, hakuna aliyekua anamhukumu kwenye maamuzi yake, pengine walikua disappointed kwa kiasi fulani, zaidi Mzee wake lakini wala hakuonyesha kushutushwa au kutaka kumsema vibaya kwa maamuzi yake, badala yake waliheshimu na kumpa support tu kwenye maamuzi na maisha yake. Maisha yamemumfundisha mengi tu, pengine kwa adhabu zaidi yamemfundisha kuwa marafiki ambao ndo aliwaona wanampenda sana waliishia kumhusisha na mambo ambayo si mazuri na ambayo yalimfanya ajaribu imani yake kwa kiasi kikubwa sana. Humu anakumbuka jinsi alivyokua anahangaika kwa waganga na kujaribu kwa nguvu vitu ambayo vilikua hata havihitaji hiyo njia ambayo alikua anaaminishwa kama ndo zilikua sahihi. Anakumbuka Imani yake ilivyo jaribiwa na utukufu wa Mungu alipokuja kumuongoza. Hapo juu nilisema huyo ndo muigizaji BORA wa kike kwa sasa, pengine wengine wanaweza wakawa na mawazo tofauti kidogo na haikatazwi, ila kwenye vitabu vyangu? Kwa hesabu ya leo? Huyu ndo Mama yao. Sasa aliwezaje kutoka huko? Alikutana vipi na Baba wa mtoto wake? Na filamu au kazi yake ya kwanza ilikua inatwaje? Na aliipataje hasa? Nani ndo anamuangalia sana maishani mwake? Ambaye angependa kuwa kama yeye? Wapi anajiona huko mbele kwenye kazi yake hii? Natumai utajifunza mawili matatu kutoka kwa Dada Mkali na uta enjoy pia. Love, Salama. Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ ‪ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack ‪YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali    • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown   Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Sallam Afichua Walichokifanya WCB Baada Kufungiwa Na Media Zote Kubwa | SALAMA NA SALLAM SK PT 2
▶︎

Sallam Afichua Walichokifanya WCB Baada Kufungiwa Na Media Zote Kubwa | SALAMA NA SALLAM SK PT 2

Mfahamu Aunty: "Nimeishi Na Bibi, Kwenye Chumba Kimoja, Sina Rafiki" | SALAMA NA AUNTY PART 1
▶︎

Mfahamu Aunty: "Nimeishi Na Bibi, Kwenye Chumba Kimoja, Sina Rafiki" | SALAMA NA AUNTY PART 1

EXCLUSIVE: ANNA JUAKALI AMKABIDHI MUNGU NDOA YAKE, AFICHUA ya UHUSIANO -''NAISHI MAISHA MATAKATIFU''
▶︎

EXCLUSIVE: ANNA JUAKALI AMKABIDHI MUNGU NDOA YAKE, AFICHUA ya UHUSIANO -''NAISHI MAISHA MATAKATIFU''

Swahilipot Mjadala - Role Of Relegion In Early & Forced Marriages
▶︎

Swahilipot Mjadala - Role Of Relegion In Early & Forced Marriages

Nilikutana Na Mzee Mengi Gym, Sikuwa Najua Yeye Ni Nani" | SALAMA NA MADAM RITA PART 2
▶︎

Nilikutana Na Mzee Mengi Gym, Sikuwa Najua Yeye Ni Nani" | SALAMA NA MADAM RITA PART 2

REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA 'HOUSEGIRL' ALIYEKUJA KUWA PROFESA
▶︎

REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA 'HOUSEGIRL' ALIYEKUJA KUWA PROFESA

MR BLUE AFUNGUKA HARMONIZE NA DIAMOND KURUDIA NYIMBO ZAKE// KUWA MSANII MWENYE KORABO NYINGI ZAIDI
▶︎

MR BLUE AFUNGUKA HARMONIZE NA DIAMOND KURUDIA NYIMBO ZAKE// KUWA MSANII MWENYE KORABO NYINGI ZAIDI

MASHALOVE AFUNGUKA MADUDU YA GIGY MONEY/AMEJILIPIA MAHARI YA HARUSI/ZUCHU HAMPENDI/SIWEZI KUMROGA
▶︎

MASHALOVE AFUNGUKA MADUDU YA GIGY MONEY/AMEJILIPIA MAHARI YA HARUSI/ZUCHU HAMPENDI/SIWEZI KUMROGA

ILIKUWA NI BIFU ZITO?? JOH MAKINI NA NAHREAL WAZUNGUMZA KILICHOSABABISHA UKIMYA WAO
▶︎

ILIKUWA NI BIFU ZITO?? JOH MAKINI NA NAHREAL WAZUNGUMZA KILICHOSABABISHA UKIMYA WAO

Part 1: Dr Mwaka na Wake zake Kwenye Leo Tena "Haikuwa Rahisi Kwao kuishi Pamoja"
▶︎

Part 1: Dr Mwaka na Wake zake Kwenye Leo Tena "Haikuwa Rahisi Kwao kuishi Pamoja"

Aunty Asimulia Alivyokutana Na Kusah "Alinifuata DM, Alikuwa Anatafuta Chaka" | SALAMA NA AUNTY PT 2
▶︎

Aunty Asimulia Alivyokutana Na Kusah "Alinifuata DM, Alikuwa Anatafuta Chaka" | SALAMA NA AUNTY PT 2

Searching for African Indians in India, Siddi People, Siddi Village
▶︎

Searching for African Indians in India, Siddi People, Siddi Village

Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa  "Nina Makabila Matatu"  | SALAMA NA MADAM RITA PT 1
▶︎

Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa "Nina Makabila Matatu" | SALAMA NA MADAM RITA PT 1

LISSAH WA JUA KALI AFUNGUKA NIPO KWENYE PENZI JIPYA LENYE AMANI/LAMATA KANIBADILISHA KIMAISHA/MAGARI
▶︎

LISSAH WA JUA KALI AFUNGUKA NIPO KWENYE PENZI JIPYA LENYE AMANI/LAMATA KANIBADILISHA KIMAISHA/MAGARI

PART 1: DR. MWAKA AIBUKA, HAJAKUBALI NDOA KUVUNJWA, AMVAA SHEIKH WA DSM "HAYA NI MATAPISHI, AIBU".
▶︎

PART 1: DR. MWAKA AIBUKA, HAJAKUBALI NDOA KUVUNJWA, AMVAA SHEIKH WA DSM "HAYA NI MATAPISHI, AIBU".

GIGY MONEY ALIA STUDIO, ADAI MASHA LOVE ANAMROGA AGOMBANE NA WATU, APOTEE!
▶︎

GIGY MONEY ALIA STUDIO, ADAI MASHA LOVE ANAMROGA AGOMBANE NA WATU, APOTEE!

Jinsi Ya Kutengeneza Icecream Lita 20 Rahisi Sana
▶︎

Jinsi Ya Kutengeneza Icecream Lita 20 Rahisi Sana

Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

JUAKALI RECAP 235 EPISODE.ANNA KAMCHOMA KISU REBECA
▶︎

JUAKALI RECAP 235 EPISODE.ANNA KAMCHOMA KISU REBECA

🔴Samia Amjibu Nchimbi Kujiuzulu, Mkutano wa Dharura ikulu CCM muda huu, Wajitenga na Matamshi “YUDA”
▶︎

🔴Samia Amjibu Nchimbi Kujiuzulu, Mkutano wa Dharura ikulu CCM muda huu, Wajitenga na Matamshi “YUDA”