Aunty Asimulia Alivyokutana Na Kusah "Alinifuata DM, Alikuwa Anatafuta Chaka" | SALAMA NA AUNTY PT 2
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 Nikuibie tu siri ya kabatini kuhusu haya mazungumzo yangu na Aunty Ezekiel, kwanza ilikua ngumu sana mpaka alipofika hapa kwenye kiti maana mazungumzo haya yalighairishwa zaidi ya mara tatu mpaka ilipofika siku hii. Kwa imani yangu nisema Mungu ana mipango yake, yaani kila kitu kwa wakati wake na bila ya shaka wakati wa hii ulikua haijafika bado ndo maana haikutokea na kwa kutokea siku hii, huu ndo ulikua wakati sahihi kabisa. Mimi na yeye tunafahamia ki vyetu, si watu ambao tunakutana kila siku ila ni watu ambao tukikutana tuna click tu vizuri na mambo yanaenda. Marafiki zetu wengi pia wanafahamiana kwahiyo tunaenda tu vizuri. Na nia na madhumuni ya sisi kumtaka kwenye kiti chetu ni kwasababu wote tunajua amepitia mengi na kwa yeye kutusimulia kuhusu makuzi yake na mahangaiko yake yanafaa nafasi kwenye kiti chetu. Toka mara ya kwanza kusikia jina la Aunty Ezekiel naamini miaka mingi tu ishapita, kama wewe ni wale wa zamani kama mimi basi utakua unamjua toka miaka ya katikati ya 2000 baada ya kuwa mmoja ya kundi la wasichana wazuri ambao walishawahi kushiriki Miss Tanzania. Kwenye mwaka ambao Aunty alishiriki kulikua na warembo kama Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na Irene Uwoya kuwataja tu wachache. Aunty yeye naye alikua kati ya wale waliongia Top 10. Mwaka huo ulikua mwaka wa ushindani sana lakini wengi ambao walimaliza vizuri ndio hawa mpaka leo wanaendelea kufanya vizuri katika nyanja mbali mbali ambazo wao wamezishagua. Aunty sasa ni Mama wa watoto wawili ambao ameniambia ni kila kitu kwake, wanampa sababu ya kutaka kuendelea kuishi na kuwa bora kwao kila wakati, nilimuuliza siku ya kwanza alipompata mtoto wake wa kwanza, na hisia yake ilikuaje, na anakumbuka jinsi ambavyo aligundua ana ujauzito na mara ya kwanza anamshika Cookie mikononi mwake. Aunty pia anakumbuka ‘ujana’ wake na mengi aloyapitia mpaka akawa hivi alivyo leo. Kuna suala la yeye kuwa na mahusiano na wanaume ambao ni wadogo kuliko yeye, au wale ambao alikua nao zamani ambao walikua wakubwa kuliko yeye, Aunty amenielezea maoni yake juu ya hili. Mahusiano yake na Marehemu Mzee wake, Mama yake.. Alivyolelewa na machaguzi ambayo aliwahi kuyafanya wakati anakua na pengine maamuzi mabaya au kama ana majuto katika maisha yake. Kama binadamu kuna baadhi ya mambo yanakua magumu kuwa nayo wazi au kuyaelezea kinaga ubaga, Ila hata kwa haya ambayo tuliongea nae natumai utapata ya kujifunza kupitia yeye. Tafadhali Enjoy. Love, Salama. Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam... Follow: Twitter: / yahstonetown Instagram: / yahstonetown Facebook: / yahstonetown Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Mfahamu Aunty: "Nimeishi Na Bibi, Kwenye Chumba Kimoja, Sina Rafiki" | SALAMA NA AUNTY PART 1

TAZAMA KIPAJI CHA MTOTO WA AUNT EZEKIEL NA KUSAH,AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI/KUONGEZA MTOTO

WAUZAJI WANAONGOZA KWA KUHARIBIKA NGOZI, MANYANYASO NDIO SABABU, MIMI NI MREMBO

AUNTY EZEKIEL NA KUSAH TRIP YA BUMBULI & LUSHOTO//WAKUTANA NA ALLY//MAMA MKWE ANANIPENDA

Jux : "Nilikaa Na Jackie Mwezi Mzima China, Akawa Hapatikani, Sikumuona Tena" | SALAMA NA JUX PT 2

FAHAMU HISTORIA YA JOKATE MWEGELO. (TALANTA ZA ZEYSHA EP.12)

Auntie Naa let's do the DNA if the child is mine 13-8-2025

NYUMBANI KWA MASHAVU WA KOMBOLELA/GHOROFA LA MAANA/NAISHI NA MTOTO WANGU/BABA YAKE AMENIUMIZA SANA

JUMA NATURE ANAONGEA YOTE | SAKATA LA KULIPWA LAKI TANO | MAISHA YANGU YANA SIRI NZITO | MUZIKI

AUNTY EZEKIEL :(EP 01) NILITOROKA / NILIKUA MFANYAKAZI ZA NDANI/KUOLEWA BAADA YA DARASA LA 7.....

Salama Na LULU DIVA SE6 EP61 | UKIPATA KINYAKUE… PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

MPAKA HOME KWA MZEE MAGARI MAREKANI UTASHANGAA ANAMILIK MJUMBA NA MKE MRUND

Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1

EXCLUSIVE: AUNTY EZEKIEL aelezea kuumizwa kwake na Moze Iyobo kuomba hela wanawake wengine/nimemzidi

AUNTY EZEKIEL Vs KUSAH - MCHEZO WA FAMILIA WAKIWA NA WATOTO WAO KIPINDI CHA SIKUKUU NA LIKIZO

EXCLUSIVE: JUX ASIMULIA YOTE BAADA YA KUFUNGA NDOA, ATOA JIBU LA NDOA YA KIKRISTO NIGERIA - PART ONE

Oyerepa afutuo Live today 21-8-25 | Oyerepa afutuo naa live today. afutuo naa live today.

MASHALOVE AFUNGUKA MADUDU YA GIGY MONEY/AMEJILIPIA MAHARI YA HARUSI/ZUCHU HAMPENDI/SIWEZI KUMROGA

Malezi ya watoto wao si Rahisi hata kidogo ( A-List S01 Ep02)

