MATHAYO 24: CHUKIZO LA UHARIBIFU NA NABII DANIELI/MWENYE SIKIO NA ASIKIE
#Yesu#ChukizolaUharibifu##Danieli#Mwakasege Basi, mtakapoona ‘Chukizo Haribifu lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, (msomaji na atambue maana yake), 16hapo, walioko Yudea na wakimbilie milimani. 17Aliye juu ya paa la nyumba yake asishuke kuchukua kitu nyumbani mwake. 18Aliye shambani asirudi nyuma kuchukua vazi lake. 19Ole wao kina mama waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo! 20Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato! 21Maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka leo, wala haitapata kutokea tena. 22Kama siku hizo hazingalipunguzwa, hakuna binadamu yeyote ambaye angeokoka; lakini siku hizo zitapunguzwa kwa ajili ya wale walioteuliwa. 23“Basi, mtu akiwaambieni siku hizo: ‘Kristo yuko hapa’ au ‘Yuko pale,’ msimsadiki. 24Maana watatokea akina Kristo wa uongo na manabii wa uongo. Watafanya ishara kubwa na maajabu ya kuweza kuwapotosha ikiwezekana hata wateule wa Mungu. 25Sikilizeni, nimekwisha waonya kabla ya wakati. 26Basi, wakiwaambieni, ‘Tazameni, yuko jangwani,’ msiende huko; au, ‘Tazameni, amejificha ndani,’ msisadiki; 27maana, kama vile umeme uangazavyo toka mashariki hadi magharibi, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu. 28Pale ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

MATHAYO 25:HUKUMU YA MWISHO/ATATENGANISHA KONDOO NA MBUZI

Mch Moses Magembe - INJILI YA MATHAYO

Kitabu cha Mathayo 24:1-46 Bwana Yesu alifundisha dalili za Kurudi kwa Kwake na Mwisho wa Dunia?

IBRAHIM ALIVYOKABIDHIWA ISRAEL/KAANANI NA MUNGU

The Story Book : Yesu Alipotelea Wapi Miaka 18 Ambayo Maandiko Hayamuongelei?
![#LIVE Rev Victor Makundi /CHUKIZO LA UHARIBIFU [UNAHITAJIKA KUOMBA ZAIDI]](https://i.ytimg.com/vi/PHpE49ngNcQ/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEnCNACELwBSFryq4qpAxkIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAG4AvMY&rs=AOn4CLBKBmZZpSsBXy_jkwJBz8MgeFvXJw&usqp=CCY)
#LIVE Rev Victor Makundi /CHUKIZO LA UHARIBIFU [UNAHITAJIKA KUOMBA ZAIDI]

CHUKIZO LA UHARIBIFU. PR JULIUS TEMBA.

KUJUA MAJIRA YA KURUDI KWA YESU sehemu ya 6 - Rabbi Abshalom Longan

Vita 2 Zilizobak Kufikia Mwisho wa Dunia | Vita ya GOGU na MAGOGU | Semina ya Neno la Mungu Mwl Tuza

LIVE PD PROSPER KESSY ANAZUNGUMZA KONGAMANO LA DAMU AZIZI DAY 2 KUTOKA MBEZI BEACH DAR ES SALAM

Tenzi za Rohoni (Swahili Hymns) | Morning worship songs Swahili | Vol.3

WEKA MIPAKA KWENYE MAISHA YAKO // WASIKUJUE SANA

MATHAYO 1: HISTORIA YA MATHAYO MTOZA USHURU/BIBLIA

VBV Swahili- Mathayo 13: 24 - 43 - Mifano ya Ufalme wa Mungu

JINSI YA KUPANGUA MIPANGO YA ADUI ZAKO // Efeso 5:14

ELIJAH – The Movie (2026): The Film that Shocked the World | Complete Full Biblical Film 4K

NENO LA SIKU | Mathayo 26 | Maombi Ya Kuvunja Maagano Ya Damu | Isaac Javan

10 COMMANDMENTS OF GOD/DIFFERENT CHURCHES/IDOL WORSHIP

REV ELIONA KIMARO - KUMCHA MUNGU NI CHANZO CHA MAARIFA (OFFICIAL VIDEO) (REK)

