Ukarimu wa Mungu na Maombi ya Watakatifu - God's Standards 30

Kuna sababu nyingi kwa nini watu hawaombi. Lakini pia kuna sababu kwa nini hawana ujasiri wa kuomba.. Mtu asiyeujua ukarimu wa Mungu aidha hataomba au hataomba kwa imani. Hii inapelekea watu wengi kufanya maombi kidini tu yaani kutimiza wajibu wa kamati ya maombi au idara ya maombi. Mungu hawezi kutuagiza tuombe kama maombi ni jambo la KUFURAHISHA tu mdomo na akili au kupoteza muda tu. HUU NI UKARIMU WA MUNGU ITAZAME..