MAJALIWA ATOA NENO KIFO CHA KIONGOZI CCM
LINDI: MWEMYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na Kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Liwale, Kindamba Milingo. Akiwasilisha salamu za Chama cha Mapinduzi kwa waombolezaji waliojitokeza katika Msiba huo Uliofanyika Jumatano, Januari 08, 2025) Nyumbani kwa Marehemu Pulipwite Liwale Mjini mkoani Lindi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais anatambua mchango mkubwa uliofanywa na marehemu enzi ya uhai wake katika kukijenga Chama cha Mapinduzi. "Kwa niaba ya Mwenyekiti wetu wa Chama, Katibu Mkuu na viongozi wengine naomba kuwasilisha salamu za rambirambi kutoka Chama cha Mapinduzi CCM, viongozi wetu hawa wote wameguswa na kifo cha Milingo na wanatambua kazi kubwa aliyoifanya katika kukijenga chama kwenye ngazi ya Wilaya alipokuwa anahudumu” Amesema marehemu mzee Milingo alikuwa kiunganishi kikubwa kati ya Chama na Serikali katika kuhakikisha wanafuatilia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ili kusaidia kuongeza kasi ya maendeleo ndani ya Wilaya ya Liwale. Majaliwa amesema ni vyema wanachama wa CCM wakaendelea kuenzi mazuri yote yaliyofanywa na Mwenyekiti huyo pamoja na kuendelea kumuombea. Zaituni Mkwama. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

BABA MZAZI wa FREDY KILUSWA ASIMULIA ALIVYOSHUHUDIA MWANAYE AKIAGA DUNIA HOSPITALINI...

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA KATA YA MGONGO,IRAMBA

MENGINE YAJITOKEZA KUMBE MTOTO , JIRANI WA KIONGOZI WA CCM ALIYEUAWA WALI...

SIKUOMBI GARI, NAOMBA DAMU, MTOTO AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WAZIRI MCHENGERWA, MRISHO MPOTO

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

ASKOFU KIANGIO: TUWE NA IMANI/ HURUMA YA MUNGU HAIWEZI KUSHINDWA/JE WEWE MSALABA WAKO NI UPI...!!

MAKONDA AMVAA GAMBO MBELE YA WAZIRI, " USITAFUTE HURUMA YA JAMII"

E HABARI JUNE 12 2026\RAIS SAMIA AIAGIZA BOT KUSIMAMIA RIBA NA KUBORESHA UPATIKANAJI WA MIKOPO

WALIOMTEKA MTOTO SHULENI WAANIKWA

#LIVE: WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIWASILISHA ILANI YA CCM MWAKA 2022/24 MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA

WABUNGE WLIPUKA KWA SHANGWE CDF NKUNDA AKITAMBULISHWA

USHAURI WATOLEWA HOSPITALI MPYA WILAYA YA LIWALE

SHABIBY: PUNGUZENI GHARAMA ZA LESENI ZA BODABODA!

Ruto FULL ANGRY Speech today in State House on Reparations for Victims of Human Rights Violations

DAWA YA RUTO!! Listen to Gachagua Powerful remarks today in Bungoma Church destroying Kasongo badly!

'Iran deal will bring a lot of success to the world': Trump meets with Macron at G7 Summit in France

'Iran deal will bring a lot of success to the world': Trump meets with Macron at G7 Summit in France

"THEY ARE BURIED IN CROCODILE-INFESTED AREAS": MAMA SALMA KIKWETE RAISES SERIOUS CONCERNS IN PARL...

Trump Fires Back at Reporters on Iran Deal MOU Text: 'I Want It To Be Released'

