SHABIBY: PUNGUZENI GHARAMA ZA LESENI ZA BODABODA!
DODOMA: Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby, amekosoa mfumo wa utoaji wa leseni kwa waendesha bodaboda na kuitaka serikali kupitia upya mfumo huo , huku akidai gharama za mafunzo na upatikanaji wa leseni ni kubwa na zinawaumiza vijana wengi wanaotegemea sekta hiyo kujipatia kipato. Akichangia mjadala wa Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27 pamoja na Bajeti ya Serikali ya mwaka 2026/27, Shabiby amesema waendesha bodaboda hulazimika kulipa takribani Sh100,000 kwa ajili ya mafunzo kabla ya kupata leseni. Hata hivyo amependekeza Polisi Kata wapewe jukumu la kutoa mafunzo na semina kwa waendesha bodaboda, kisha kuwapatia vibali vya kupata leseni badala ya kuwataka kuhudhuria mafunzo vyuoni. Aidha, ameishauri TRA kupunguza gharama za leseni za bodaboda kutoka Sh70,000 hadi Sh50,000 ili kuongeza idadi ya vijana wanaopata leseni na kuendesha shughuli zao kwa kufuata sheria. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

HECHE USO KWA USO NA MCHUNGAJI MSIGWA IRINGA, ANENA TUMEPITIA MISUKOSUKO SABABU YA HAKI

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

VIDEO ILIYO-TREND WATANGANYIKA KUFUKUZWA MAHOTELINI ZNZ, KIONGOZI MUHUSIKA AKEMEA UBAGUZI

BAJETI MPYA:WANAOBETI NA WAPAKA KUCHA RANGI WAGUSWA KWENYE KODI USHURU WA MAGARI WAPAA JUU KWA 40%

What is SonarQube | Introduction SonarQube | SonarQube Tutorial | SonarQube Basics | Intellipaat

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA

🔴 MUBASHARA: BAJETI KUU 2026/2027 INAWASILISHWA BUNGENI LEO

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

Mahinyila Afunguka Sakata la Kiongozi CHASO Mwanza Kukamatwa na Polisi

🔴KUMEKUCHA: BAJETI KUU YA SERIKALI 2026-2027- JUNI 16, 2026

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA KATA YA MGONGO,IRAMBA

KUNA NINI TANZANIA! MARAIS WANAPISHANA, UKWELI KUHUSU ZIARA ZA RAIS SAMIA, MIKATABA ILIYOSAINIWA

LIVE: WAZIRI AWESO ATUA MWANZA KURUDISHA MAJI, IRAN NA MAREKANI ZAMALIZA VITA

Trump DENIED Entry to a Somali World Cup Referee — Africa Had a Different Response

🔴LIVE: HAFLA YA UTIAJI SAINI NA UZINDUZI WA MIRADI YA NISHATI SAFI

BAJETI MPYA:GARI KUTOKA ZANZIBAR ZAFUTIWA USHURU KUINGIA TANZANIA BARA..

