FULL VIDEO: MWENYEKITI AINGIA KWENYE KUMI 18 ZA RC CHALAMILA, AHUSISHWA NA UTAPELI WA KIWANJA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert John Chalamila, amemrejeshea Shilingi Milioni 5 mwanamke aitwaye Glory Munisi aliyedai kutapeliwa fedha hizo katika ununuzi wa kiwanja kilichopo eneo la Nyakasangwe, wilayani Kinondoni. Tukio hilo lilijitokeza wakati wa ziara ya kikazi iliyofanyika tarehe 13 Februari ambapo RC Chalamila alipokea na kusikiliza malalamiko ya mwanamke huyo aliyesema alilipa fedha hizo kwa ajili ya kununua kiwanja lakini hakukabidhiwa umiliki halali. Baada ya kusikiliza maelezo kutoka pande zote, Mkuu huyo wa Mkoa alimuagiza Mwenyekiti wa eneo husika kuhakikisha fedha zote alizolipa mwanamke huyo zinarejeshwa. RC Chalamila pia alisisitiza umuhimu wa viongozi wa mitaa kusimamia haki na uadilifu katika masuala ya ardhi na kuonya dhidi ya vitendo vya utapeli vinavyowaumiza wananchi.

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 08, 2026 - WACHIMBAJI WADOGO WAGOMEA KUMPISHA MUWEKEZAJI

🔴#LIVE:CHADEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU KILWA MAELFU WAFURIKA

#LIVE: LUHAGA MPINA ANAFUNGUKA MAZITO TUSIYOYAJUA MUDA HUU

RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA

JUMA LOKOLE AFUNGUKA BIFU LA MASHA LOVE NA GIGY MONEY/HAWAPENDANI KWELI/RUSHYANA NA NDARO NI WAPENZI

Panetta: Trump's pick for DNI 'basically a political hack for the president'

Leo #MariaSpaces tunajadili: Maandamano 7/7 - Wazalendo ndani ya mfumo hoi au hai?#FreeTunduLissu

The Day I received News My Husband and Our House Maid were Wedding while i was in Saudi Arabia

Laughter in Court as Rastafari Diviner Explains Why Cannabis Is Sacred

MAKONDA APIGA NZITO USHOGA NCHINI/ AKUMBUSHIA KISA CHA DKT MANGURUWE ARUSHA

BILLION 30 KWENDA BADILISHA MAISHA MPWAPWA

"YUDA WA SERIKALI ATAJWE HADHARANI TUMJUE" - OSCAR, EDO, MANARA

KISA CHA KUHUZUNISHA CANADA //Sheikh Othman Maalim

Eraston Musangga visits Masisi Kinigi after the attacks

HAKUNA KUONGEZEANA MUDA: WAZIRI AWESO AELEKEZA MRADI WA MAJI MPANDA UKAMILIKE KWA HARAKA.

EBYA DR LAWRENCE MUGANGA BYONONESE, RONALD EGESA ALEESE BWIINO

JAMII INA WAJIBU WA KUMWEZESHA MTOTO WA KIKE KUFIKIA NDOTO ZAKE

