BILLION 30 KWENDA BADILISHA MAISHA MPWAPWA
Waziri wa Maji,Mhe Jumaa H.Aweso amezindua rasmi m radi mkubwa wa Maji wa Badilisha Maisha Mpwapwa wenye thamani ya Shiling Billioni 30 unaofadhiliwa na Shirika la Water For Peole wenye lengo la kuhakikisha huduma za maji safi na salama zinawafikia Wananchi wengi zaid hususani katika vijiji ambavyo havijafikiwa na huduma ya Maji. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Aprili 27,2026 katika Jimbo la Kibakwe wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma ,Mhe Aweso amesema mradi wa Badilisha Maisha Mpwapwa ni sehemu ya utèkelezaji wa Serikali ambapo imelenga kufikisha huduma ya maji katika vijiji 1,557 vilivyosalia hadi kufikia mwaka 2030. Amesema,mradi huo utaenda kunufaisha zaidi ya Wananchi 156,000 katika vijiji 23,pamoja na Shule 11 na vituo vya Afya 10,hata hivyo mradi unahusisha ujenzi wa mifumo 9 ya maji,vituo 255 vya kuchotea maji pamoja na uunganishaji wa maji kwa kaya zenye uhitaji maalum. Utekelezaji wa mradi huo utaengeza upatikanaji wa maji,kupunguza magonjwa yatokanayo na maji yasiyo salama,kuboresha shuhuli za kiuchumi kwa wananchi na kuinua sekta ya elimu amesema Waziri Aweso Halikadhalika,ametoa wito kwa Wananchi,viongozi wa Serikali za Mitaa pamoja na Taasisi husika kuhakikisha wanalinda miundombinu ya maji ili kudumisha uendelevu wa huduma hiyo na kuweza kutumika kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Pia,ametoa shukrani kwa Shirika la Water For Peole Tanzania,kwa kushirikiana na Serikali katika kufanikisha mradi huo,akisistiza kuwa ushirikiano kati ya Serikali,wadau wa maendeo na jamii ni muhimu katika kufikisha malengo maendeleo endelevu.

Mbio za Mwenge wa Uhuru Mpwapwa 31.5.2026

WSAV News 3 Today at 6am

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YATOA MAFUNZO YA URAIA NA UTAWALA BORA.

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

🔴#LIVE: VIGOGO WA NCHI WAKUTANA KUJADILI MWELEKEO NA HATMA YA TAIFA LA TANZANIA

WAZIRI MKUU MHE. DKT. NCHEMBA AKAGUA DARAJA LA MTO MKUNDI KILOSA

ZAHANATI YA MSANGAMBUYA YAFUNGULIWA RASMI.

Mganga Mkuu wa Wilaya Dr Stanley Mlay akielezea huduma zitakazotolewa Zahanat

NATAMANI KAMA TUNGETUMIA NAFASI ZETU KUWASIMAMIA WATENDAJI KUKUSANYA MAPATO.

KAMATI YA ALAT MKOA YAIPONGEZA MPWAPWA KWA MIRADI MIZURI.

Kwanini Rais Samia wa Tanzania ameenda kukutana na Putin wa Urusi?

KIMEUMANA! Listen to Gachagua DCP Fresh orders to GEN Z after High Court upheld Gachagua impeachment

ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KATIKA KIWANDA CHA NYAMA CHA NGURU HILLS RANCH

30 May 2026

JESHI LA UHAMIAJI LATOA MAFUNZO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI

DC KIZIGO ATOA SALAMU ZA WANAMPWAPWA KWA WAZIRI MKUU.

DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

HAKIKISHENI WATOTO WANAOISHI MITAANI NA WANAOFANYA KAZI MITAANI WANALINDWA NA KUPATA HAKI SAWA.

JUKWAA LA VIJANA KWA WANAFUNZI WA VYUO MKOA WA MOROGORO LAFAANA,VIJANA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA

