AKAA NA MAITI YA MCHUNGAJI WAKE MIEZI MIWILI AKIMWOMBEA ILI AFUFUKE
Mchungaji wa Kanisa la Heri Huruma, John Chida, Lililokuwa Linajengwa Kitongoji cha Isakalilo C Kijiji cha Isakalilo Kata ya Kalenga Wilaya ya Iringa Mkoani Iringa Anatajwa Kufariki Dunia na Kutozikwa kwa Miezi Karibu Miwili. Mwili wa Mchungaji Huo Umetambuliwa Hapo Jana Jumanne Katika Nyumba Aliyokuwa Amepanga Baada ya Mwenyekiti wa Kitongoji Hicho Amos Msole Kumtembelea Ili Kujua Hali Yake ya Kiafya Baada ya Kukataa Kwenda Hospitali. Inakadiriwa Kuwa Huenda Mchungaji Huyo Alifariki Dunia Kati ya Mwishoni mwa Mwezi wa Tisa Hadi Katikati ya Mwezi wa Kumi Huku Muumini Aliyekuwa Wanaishi Pamoja Kushindwa Kutoa Taarifa ya Kifo Hicho Hadi Kugundulika Jana. Baada ya Kuulizwa na Serikali ya Kitongoji Pamoja na Serikali ya Kijiji Muumini Huyo Aliyetambulika kwa Jina la Agnes Mwakijale Alidai Kuwa Mchungaji Wake Hajafa Bali Amechukuliwa na Mungu na Atarejea Tena Duniani Karibuni. Mwenyekiti wa Kijiji cha Isakalilo Alfred Mpiluka Amesema Serikali ya Kijiji Mwezi wa Nane Mwaka Huu Ilitoa Fedha Kwaajili ya Mchungaji Huyo Kwenda Hospitali Lakini Alisema Hawezi Kwenda Hospitali Kutokana na Imani Yake.

MCHUNGAJI AFARIKI, AACHWA NDANI AKIAMINI ATAFUFUKA

MTENDAJI WA KATA - KIJIJI WATUMBULIWA MBELE YA HADHARA BAADA ya WANANCHI KUKATAA MRADI WA MAJI...

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

MTOTO WA MCHUNGAJI ALIYEFARIKI AKISUBIRIWA AFUFUKE ASIMULIA AKILIA KWA UCHUNGU

MAUMIVU YA KISIGINO/ VISIGINO : Sababu, dalili, matibabu, Nini cha kufanya

WATU KUTOKA KINSHASA WA WASILI KAZIMIA KUTAZAMA MRADI WAO

OBR URGES SUBJECTS TO CONSCIOUSLY OBSERVE MINISTRY OF HEALTH SOPs

KESI YA UHAINI YA LISSU YAIBUKA MAPYA, CHADEMA WADAI POLISI WAMEPANGA VURUGU MAHAKAMANI

KUOTA NDOTO ZA KIFO AU MAITI // MAANA NA TAFSIR ZAKE // SHEIKH ABUU JADAWI

ITAKUSHANGAZA TUKIO LA MCHUNGAJI ALIYEFIA NDANI AKIAMINI ATAFUFUKA, WAISHI NA MWILI WAKE KWA SIKU 60

Mganga Mkuu wa Wilaya Dr Stanley Mlay akielezea huduma zitakazotolewa Zahanat

#UmuvunyiIwacu mu Karere ka Burera

PATRICK OLE SOSOPI: RAIS SAMIA AONGEZEWE MUDA, NO REFORMS NO ELECTIONS.

AISHI NA MAITI YA MCHUNGAJI WAKE KWA MIEZI MIWILI AKIAMINI ATAFUFUKA

MWANAMKE ALIYE MTEKA MTOTO SHULENI NA KUTAKA ALIPWE MILIONI 20,AKAMATWA NA MTOTO TABORA

Muumini kushikiliwa kwa kuishi na Maiti -Iringa

MCHUNGAJI MSIGWA: NO REFORMS NO ELECTIONNI MKAKATI DHAIFU NA BUTU HAUWEZI KUTEKELEZEKA, MBOWE

SADIKI WA IRINGA AJINYONGA KISA MADENI, MZAZI MWENZAKE AELEZA "ALINITAFUTA NIMSAIDIE SIKUMSIKILIZA"

MIRAJI|AKINA MAXI HAWAZALIWI SANA AFRICA🤣|KOCHA JULIO ALIWADHARAU YANGA WAMEMJIBU BADO MECHI 2

