Salama Na MSIGWA SE6 EP01 FULL SHOW | SEMA PART 1 | SendTip Through MPESA LIPA NO 5578460

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460 Support us through https://anchor.fm/yahstonetown/support SUBSCRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs #SalamaNaMsigwa ndo kifungua pazia cha msimu mpya wa kipindi chetu hiki baada ya kukaa nje kwa takriban miezi mitano, ndani ya hiyo miezi mitano tulipata kujifunza mengi yalojaa baraka na mengi pia yametokea ambayo yananifanya binafsi niendelee kujifunza kwa kadiri siku zinavyoenda na kwa hilo sina budi kumshukuru Mwenyezi Mungu alojaa Rehema nyingi sana. Ukiachana na yangu na ya wenzangu, kwenye maisha ya huyu mgeni wetu nambari moja naye pia mengi yametokea kwa upande wake, kwenye maisha yake, haswa kwa upande wa kazi. Kwa mtu ambaye alikua Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu, mpaka kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali kwa kipindi kisichozidi miezi mitano nacho pia si kitu kidogo, na pengine kwa kipindi kile ambacho tulisema nasi tunachukua breki yeye pia hakuwahi kufikiria kama angekua kwenye nafasi hii alonayo sasa. Kweli jambo usilolijua ni kama usiku. Gerson Partinus Msigwa, kutoka Songea kwenye familia ya kawaida tu ambaye mapenzi yake makubwa ya kazi yake na kujitolea kwingi ndo kumemfanya afike hapo alipo. Haikua kazi rahisi wala, au ya siku moja, au pengine aliona haya yataweza kuja kutimia siku moja, at least kutoka kwenye khadithi aliyonipa kweye meza yetu. Kabla ya TBC Songea Mr Msigwa kazi yake ilikua ni kilimo tu kama kijana wa kawaida ambaye anakua na kuona wazazi wake wako shambani, hakua na ndoto kubwa, hakua malengo ya siku moja kuwa ndani ya Land Cruiser au kuwa na ukaribu na marais kadhaa wa nchi hii. Kazi yenyewe aliipata baada ya kuambiwa na mtu kwenye familia yao kwamba kuna tangazo la kazi ya Radio. Hakufanya ajizi akaenda, alikutana na watu kadhaa katika usaili ila mwisho wa siku yeye na ambaye ndo mke wake wa sasa ndo walibahatika kuchukua nafasi hizo mbili na mengine yamebaki historia. Aliwahi kufanya kazi ya kujitolea kwa muda tu, na huo pia ndo wito wake wa vijana ambao ndo wanatafuta kazi kwa sasa, wimbo huu anasema amekua akiuimba kwa kipindi sasa, kutaka wawe wanajitolea baada ya kutaka kupata ajira za moja kwa moja huku wakiwa pengine hata uzoefu hawana. Anaamini (hata mimi pia) kwamba kwa mmoja kujitolea huko kutaweza kufungua nafasi ya kupata elimu, kuonekana na pengine kuaminiwa na mwisho wa siku kuipata hiyo ajira moja kwa moja. Kitu ambacho vijana wengi wa leo wamekua wazito kukifanya. Safari yake ilianzia kwa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kipindi kile yeye ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama mas’hara tu baada ya kukutana nae kwenye kazi, Mkuu alitoa agizo la yeye kuvutwa Ikulu na aanze kufanyia kazi pale. Hakurudi tena Songea, hata familia yake ilibidi ije yenyewe hapa Dar es Salaam, just like that mambo yote yakabadilika. Kutoka kwa JK, kuja kwa Marehemu Rais John Pombe Magufuli na mpaka kwa Rais wa sasa Ndugu Samia Suluhu Hassan ambaye alimbadilishia nafasi yake aliyokua akiishika kipindi ya JPM na kumpa hii alonayo sasa ambayo yeye ndo bosi wa baadhi ya walokua mabosi zake kipindi kile anaanza. Look at God 😄 Haya mazungumzo hasa yalikua ya kutaka kumfahamu yeye na vitu vinavyomsukuma, na kutaka kujua barabara ambayo alipita ilikua na mashimo kiasi gani, na hata ‘ajali’ ambazo ameshawahi kukutana nazo na jinsi gani alikua ‘anapona’ nazo. Kweli maisha ni milima na mabonde na kwa discipline hii ambayo mwenzetu ameionyesha toka siku ya kwanza mpaka hapa alipo, bila ya shaka mimi na wewe tuna jambo la KUJIFUNZA. I hope you’ll enjoy the conversation like I did. Love, Salama. Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm‬ ‪ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru‬ GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack ‪YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Soundtrack Yeah by @MarcoChali    • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam...   Follow: Twitter:   / yahstonetown   Instagram:   / yahstonetown   Facebook:   / yahstonetown   Channel Administered by Slide Digital Instagram: www.instagram.com/slidedigitaltz

Salama Na MWALUBADU SE6 EP 02  FULL SHOW | MGAGAANAUPWA Part 2| SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na MWALUBADU SE6 EP 02 FULL SHOW | MGAGAANAUPWA Part 2| SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Salama Na MSIGWA SE6  EP01 FULL SHOW | SEMA PART 2 | SendTip Through MPESA  LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na MSIGWA SE6 EP01 FULL SHOW | SEMA PART 2 | SendTip Through MPESA LIPA NO 5578460

#LIVE:HALMASHAURI KUU CCM MKOA WA MWANZA WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KULETA MAENDELEO YA KIDIPLOMASIA.
▶︎

#LIVE:HALMASHAURI KUU CCM MKOA WA MWANZA WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KULETA MAENDELEO YA KIDIPLOMASIA.

Salama Na NAPE NNAUYE SE6 EP15 |ASKARI WA BRIGEDIA PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na NAPE NNAUYE SE6 EP15 |ASKARI WA BRIGEDIA PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460

THE BEST OF MCA TRICKY 2026 The Ultimate Street King Edition!
▶︎

THE BEST OF MCA TRICKY 2026 The Ultimate Street King Edition!

Netwalking Show | Kenyans Thought The Late Mzee Ojwang Was My Real Husband | Mama Kayai
▶︎

Netwalking Show | Kenyans Thought The Late Mzee Ojwang Was My Real Husband | Mama Kayai

IS IT TRUE THAT ALLY BI IS JUST A HYPE DJ WHO HAS FOUND FAME AND FORTUNE
▶︎

IS IT TRUE THAT ALLY BI IS JUST A HYPE DJ WHO HAS FOUND FAME AND FORTUNE

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira
▶︎

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

kuishi bila VVU inawezekana tumia dawa zingatia ushauri kutoka kwa T.R.Msigwa.
▶︎

kuishi bila VVU inawezekana tumia dawa zingatia ushauri kutoka kwa T.R.Msigwa.

Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶︎

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
▶︎

Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995

Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
▶︎

Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

🔥💥WUEEH!!SIHAMI KENYA 🤣KENYANS ROASTS PRESIDENT RUTO FOR COMPENSATING VICTIMS OF JUNE 2024 PROTESTS
▶︎

🔥💥WUEEH!!SIHAMI KENYA 🤣KENYANS ROASTS PRESIDENT RUTO FOR COMPENSATING VICTIMS OF JUNE 2024 PROTESTS

BEST OF MAKOKHA 🤣🤣.VIOJA MAHAKAMANI 🤣
▶︎

BEST OF MAKOKHA 🤣🤣.VIOJA MAHAKAMANI 🤣

BUSATI MAGIC FM NA TR MSIGWA '
▶︎

BUSATI MAGIC FM NA TR MSIGWA '

THE DC BON KALINDO LERO PA 27TH JUNE 2026
▶︎

THE DC BON KALINDO LERO PA 27TH JUNE 2026

MZEE SAID!SIMBA NA YANGA WOTE AWATOPOTEZA MCHEZO BINGWA YANGA/KWA NIN FINAL IPELEKWE GOMBANI PEMBA?
▶︎

MZEE SAID!SIMBA NA YANGA WOTE AWATOPOTEZA MCHEZO BINGWA YANGA/KWA NIN FINAL IPELEKWE GOMBANI PEMBA?

Tanzania’s Toughest Water Highway | Investigate Africa
▶︎

Tanzania’s Toughest Water Highway | Investigate Africa

Salama Na Seba Ep 27 | MKURUGENZI Part 1
▶︎

Salama Na Seba Ep 27 | MKURUGENZI Part 1