ALICHOKISEMA MH. LOWASSA WAKATI AKIRUDISHA FOMU MJINI DODOMA LEO
WAZIRI Mkuu Mstafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa, amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu. Mh. Lowassa ambaye alikuwa amesindikizwa na Wenyeviti wa CCM wa mikoa 12 kutoka bara na visiwani, aliwasili makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma majira ya saa 8:30 mchana wa leo Julai 1, 2015, na kupokewa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Rajabu Luhavi. Baada ya kukabidhi fomu hizo, Mh. Lowassa, alikutana na waandishi wa habari na kusoma taarifa yake fupi, ambapo alionya wale wote wanaoeneza habari potofu kuwa yeye ni mla rusha, watoe ushahidi, wapi amekula rushwa, na ni kiasi gani, za nani na wapi, Awataka Watanzania kupuuza habari hizo na kwani yeye ni muadilifu na hana shaka na hilo. Alisema, yeye ana fedha kiasi gani za kuwapa Wana CCM 874,297, waliojitokeza kumdhamini. "Maneno hayo sasa basi, natoa changamoto kwa yeyote mwenye ushahidi huo autoe hadharani vinginevyo waache kueneza uvumi na uongo" Alisema Mh. Lowassa. Alisema yeye anachukia umasikini, na kwamba endapo chama kitamteua na hatimaye Watanzania kumchagua kuwa Rais wa awamu ya Tano, atahakikisha anatimiza dhamira yake ya kuwaondolea Watanzania umasikini. Mh. Lowassa, ambaye alisindikizwa na Vigogo wa chama hicho akiwemo, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, na Mzee Pankrans Ndejembi wakiwemo wenyeviti wa CCM 12 kutoka Tanzania Bara na Visiwani, amehitimisha zoezi hilo baada ya kuzunguka mikoa 31 ya Tanzania Bara na Visiwani, na mara zote amekuwa akipata idadi kubwa ya wana CCM na wananchi waliojitokeza kwenye ofisi za CCM mahala alikopita, ikiwa ni pamoja na wengine kujipanga barabarani na kumpungia mikono

Taarifa ya Uteuzi wa Mgombea wa urais CCM.

''LOWASSA ALIPATA KEJELI na MATUSI'' - MZEE WARIOBA AFUNGUKA MAZITO MBELE ya JENEZA la LOWASSA...

Waziri mkuu mstaafu Mh Lowassa atangaza kuondoka CCM na kujiunga rasmi Chadema.

KIKWETE AFIKA MSIBANI, AONGEA KWA UCHUNGU HISTORIA YAKE NA LOWASSA "TULICHUKUA WOTE FOMU YA URAIS"

Ulimis? maneno ya Lowassa, January Makamba, Ngeleja na Membe baada ya Top 5 ya Urais kutangazwa?

Dakika 10 za Lowassa mbele ya Wanawake Dar es salaam

SIMANZI MHE. RAIS MSTAAFU KIKWETE ALIVYOWASILI MSIBANI KWA EDWARD LOWASSA MASAKI

LOWASSA ,SEFUE Walivyowasili Msibani kwa Baba Salma Kikwete

🔴#LIVE: VIGOGO WA NCHI WAKUTANA KUJADILI MWELEKEO NA HATMA YA TAIFA LA TANZANIA

🔴#Live: LISSU ACHANWA - ''ACHA SIASA za HARAKATI - BADILIKA - HUYU MAMA ANAKUPENDA - ANA HURUMA''...

🔵KUFURU MAPOKEZI YA JOHN HECHE DODOMA

# THE PROFILE: MBUNGE FRED LOWASSA ANASHANGAZA WENGI KWA MAMBO HAYA

KÙNORWO KÌ WATHO RUTO VS MEDIA MUTHONI WA KIRUMBA NA MA WAKILI

TAZAMA VIONGOZI WALIVYOMIMINIKA KUMUAGA KINGUNGE

Lowassa alivyowasili mbele ya maelfu ya Watanzania Arusha

Msafara wa Lowassa baada ya kuchukua fomu ya Urais 2015 CHADEMA

MZEE MAKAMBA AWAACHA HOI SAMIA, KIKWETE AKITEMA CHECHE KWENYE MKUTANO MKUU CCM, AMNADI MZEE KINANA

Rais Jakaya Kikwete akagua Ukumbi wa Mikutano Dodoma unaojengwa na CCM mei 16,2015

Lowassa: Kuna dalili za ‘udikteta’ serikali ya Magufuli Tanzania

