Lowassa: Kuna dalili za ‘udikteta’ serikali ya Magufuli Tanzania
Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, Edward Lowassa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kile anachokitaja kama dalili za udikteta kwenye uongozi wa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli. Amesema hiyo ndiyo iliyokuwa sababu ya kuanzisha kampeni ya Ukuta. Bw Lowassa aliwania urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka jana kwa tiketi ya chama cha Chadema lakini akashindwa na Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi, CCM.

▶︎
Lowassa akiwa ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya bunge

▶︎
Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Rais Samia aendeleza mikutano na viongozi wakuu Urusi. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
FULL VIDEO- TUNDU LISU AMUITA RAIS MAGUFULI DIKTETA UCHWALA

▶︎
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni

▶︎
NCHIMBI ASOMA MESEJI ALIYOTUMIWA NA HAYATI MAGUFULI HADHARANI "SIWEZI KUHARIBU FUTURE YAKO"

▶︎
AZAM TWO - FULL PRESS: Magufuli na Museveni walivyojibu maswali ya waandishi wa habari

▶︎
Mirathi ya Siasa - Historia ya Edward Lowassa, waziri mkuu wa zamani wa Tanzania

▶︎
Hotuba nyingine ya Lowassa na Mbowe mkutano mkuu

▶︎
MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WASTAAFU IKULU, AMSIFIA LOWASSA

▶︎
Former Tanzania Prime Minister Edward Lowassa pays tribute to the late CS Nkaissery

▶︎
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche

▶︎
Yaliyopamba kampeni za Dkt John Magufuli katika Safari ya Ikulu

▶︎
ANITA AMONG ISI YAMWIKARAGIYEHO - KNC NA MUTABARUKA

▶︎
Gahunda yari ukurwanya M23 bagakomeza no mu Rwanda | Gen (Rtd) Kabarebe ku mugambi mubisha wa DRC

▶︎
Lowassa afafanua sababu ya kutaka urais

▶︎
Halima Mdee Avuruga Tena Bunge "Eti Rais Wetu Ndio Magufuli"

▶︎
BUNGENI: Waziri Mkuu, Mbowe na Dr. Tulia kuhusu kauli ya Rais Magufuli

▶︎
Mahojiano kamili ya Tundu Lissu na Zuhura Yunus

▶︎
