''Samba" Ngoma Ya Kinyakyusa Iliyomuinua Mbunge Kwenye Kiti Kuicheza

#BusokeloTv #MbungeKyela, #mbunge, #Samba, Mbunge wa Jimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe amejumuika kucheza na wananchi wake ngoma ya kitamaduni za kinyakyusa inayojulikana kama samba. KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: [email protected] Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana