KAMATI YA MADINI NA NISHATI 'YATIA NENO' UJENZI BOMBA LA MAFUTA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, imefanya ziara ya kutembelea mradi wa bomba la mafuta linalojengwa kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga, na kuhimiza umuhimu kwa wawekezaji kurejesha sehemu ya faida kwa jamii. Akizungumza baada ya ziara ya kamati hiyo kwenye eneo la Chongoleani, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. David Mathayo amesema wameridhishwa na maendeleo yaliyofikiwa kwenye mradi huo, na wana matumaini utakamilika kwa wakati. "Tumefurahishwa na maendeleo ya hatua yaliyofikiwa kwenye mradi huu, tumeona wako mbele zaidi katika utekelezaji unavyostahili kuwa," amesema Mathayo Mathayo amesema mradi huo ni muhimu kwa watanzania kwa kuwa utaleta manufaa makubwa ya kiuchumi kwa nchi na ukanda wa Afrika Mashariki. "Tunafahamu watu wanausema vibaya mradi huu, ila sisi wabunge tunasema mradi huu ni muhimu sana kwetu na uendelee, kwa kuwa hauna madhara yoyote na una manufaa makubwa kiuchumi," ameongeza. Naye Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Athumani Mkutuka amesema Serikali imepokea maelekezo na ushauri uliotolewa na kamati hiyo, na watahakikisha miradi yote mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali inarudisha sehemu ya faida kwa jamii ili waweze kunufaika na uwepo wa miradi hiyo. Kuhusu mradi huo, kamati hiyo imependekeza watekelezaji wake waangalie kwa mapana zaidi namna ya kuendelea kuisaidia jamii inayowazunguka. Mwisho

#MAKALA: MAKAZI SOLUTIONS LTD YATANGAZA FURSA KUBWA YA VIWANJA KWENYE LANGO KUU LA UCHUMI KIPUMBWI
▶︎

#MAKALA: MAKAZI SOLUTIONS LTD YATANGAZA FURSA KUBWA YA VIWANJA KWENYE LANGO KUU LA UCHUMI KIPUMBWI

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.
▶︎

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

BANDARI YA TANGA FROM 'ZERO TO HERO'
▶︎

BANDARI YA TANGA FROM 'ZERO TO HERO'

A - Z: BIASHARA ya MAFUTA ya MAGENDO INAVYOFANYIKA TANZANIA - BANDARI HATARI ZINAZOPENYEZA MZIGO...
▶︎

A - Z: BIASHARA ya MAFUTA ya MAGENDO INAVYOFANYIKA TANZANIA - BANDARI HATARI ZINAZOPENYEZA MZIGO...

TANGA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UTALII MIKOA YA   KASKAZINI  NA ZANZIBAR
▶︎

TANGA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UTALII MIKOA YA KASKAZINI NA ZANZIBAR

Uwanja wa Mkwakwani wamponza meneja, asimamishwa kazi hadharani
▶︎

Uwanja wa Mkwakwani wamponza meneja, asimamishwa kazi hadharani

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA
▶︎

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA

NDC -TZ YAPONGEZA UWEZO WA BANDARI YA TANGA
▶︎

NDC -TZ YAPONGEZA UWEZO WA BANDARI YA TANGA

MELI KUTOKA IRAN YATIA NANGA BANDARI YA TANGA NA KONTENA 493 ZA MIZIGO
▶︎

MELI KUTOKA IRAN YATIA NANGA BANDARI YA TANGA NA KONTENA 493 ZA MIZIGO

LIVE: RAIS SAMIA AKAGUA BANDARI YA TANGA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI
▶︎

LIVE: RAIS SAMIA AKAGUA BANDARI YA TANGA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

BANDARI YA TANGA YAZINDUA TRENI YA KUSAFIRISHA MIZIGO NJE YA NCHI.
▶︎

BANDARI YA TANGA YAZINDUA TRENI YA KUSAFIRISHA MIZIGO NJE YA NCHI.

RC BATILDA AKAGUA UJENZI WA MKWAKWANI PLAZA, AHIMIZA WANATANGA KUCHANGAMKIA FURSA
▶︎

RC BATILDA AKAGUA UJENZI WA MKWAKWANI PLAZA, AHIMIZA WANATANGA KUCHANGAMKIA FURSA

RAIS SAMIA 'AKASIRIKA' KWENYE UKAGUZI WA BANDARI YA TANGA
▶︎

RAIS SAMIA 'AKASIRIKA' KWENYE UKAGUZI WA BANDARI YA TANGA

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA
▶︎

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA

RC TANGA AUNDA KAMATI KUCHUNGUZA UVUNJWAJI WA NYUMBA KIJIJI CHA MSAKANGOTO, MUHEZA
▶︎

RC TANGA AUNDA KAMATI KUCHUNGUZA UVUNJWAJI WA NYUMBA KIJIJI CHA MSAKANGOTO, MUHEZA

WALICHOKIFANYA WALINZI WA RAIS SAMIA KWENYE BANDARI YA TANGA
▶︎

WALICHOKIFANYA WALINZI WA RAIS SAMIA KWENYE BANDARI YA TANGA

CARGO TRAIN TRAVELS BETWEEN KIGOMA, RWANDA, BURUNDI AND CONGO START.
▶︎

CARGO TRAIN TRAVELS BETWEEN KIGOMA, RWANDA, BURUNDI AND CONGO START.

KILA KIPANDE CHA ARDHI JIJI LA TANGA KITAPATIWA  HATI.
▶︎

KILA KIPANDE CHA ARDHI JIJI LA TANGA KITAPATIWA HATI.

WANANCHI 2,823 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI BAMBA MWARONGO
▶︎

WANANCHI 2,823 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI BAMBA MWARONGO