Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''
https://track.pari-tz.com/dc83e7da-03... Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema asilimia kubwa ya watu wanatunza fedha ili ziwasaidie uzeeni na kusahau kutunza afya zao. Janabi amesisitiza tofauti na kutunza afya hakuna kitu kitakachokuwa na manufaa uzeeni kama afya imetetereka ikiwamo fedha. "Nafikiri ungetunza afya ikusaidie uzeeni kwa sababu fedha hizi zitakuja kukusaidia kulipia matibabu ya magonjwa hospitalini. Unafanya kazi miaka, unahangaika mjini miaka yote ili ukipata fedha uanze kuja kulipia betri za moyo nafikiri hiyo sio nzuri," amesema Profesa Janabi. Janabi amesema hayo alipofanya mahojiano na vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam, huku akisema hajawahi kuwakataza watu wasile chakula, bali wasile ovyo na kula kwa wastani ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima. "Tunashauri kupunguza vyakula vya wanga na vyenye sukari.” “Pia tunakataza ulaji wa vyakula vya kusindika, kwa sababu ili vikae muda mrefu kwenye shelfu lazima viwekwe kemikali, chumvi na sukari," amesema Profesa Janabi. Ili kufahamu zaidi alichozungumza Profesa Janabi, usikose Jarida la Afya Februari 23, 2024 pia endelea kufuatilia gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.

FUATANA NA PROF. MOHAMED JANABI AKIZUNGUMZA KWA KINA KUHUSU MAGONJWA YASIYO YAKUAMBUKIZA

PROF. JANABI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU KUWA DAKTARI WA KIKWETE ,AJIBU MAKOSA YANAYO FANYIKA

Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

BILIONEA MULOKOZI AKUBALI KUSIMULIA KILICHOMTAJIRISHA "NILIANZA NA MTAJI WA MILIONI 20" - EPISODE 3

#EXCLUSIVE: MKE wa PROFESA JANABI -AFICHUA RATIBA ya KULA-ANAVYOWASAIDI WENYE SHIDA ya AFYA ya AKILI

NJIA ZA KUONDOA MAKUNYAZI YA UZEE USONI | MWILI UTUMIKE | KARAFUU NI DAWA KALI SANA - DR. ELIZABETH

Afya ya Mkojo na kiwango cha Maji kwa Siku.

#LIVE 🔴 Busati la Mtoro Na Proffesor Muhammad Janabi Yaqub (12)

If you WANT TO LOSE WEIGHT Follow this short class by Dr. Mohamed Janabi | #FASTING #INSULIN

UNAUA FIGO ZAKO KWA TABIA HIZI 10, Prof. JANABI ANABAINISHA. #kidney #kidneydisease #afya #news

PROF.JANABI USO KWA USO NA HAJI MANARA ,AFUNGUKA MAZITO UGONJWA WA MZEE SUNDAY HUDUMA ZIPO

🔴#Live: PROFESA JANABI ASHTUA - "WATU MILIONI 35 WANAFARIKI kwa KISUKARI na PRESHA DUNIANI"....

Dkt. Issac na Madhara ya Unywaji wa Energy I Fahamu Ufanyaji Kazi wa Figo, Ini na Moyo I Faida Zake

PROF JANABI AMJIBU MAZITO HAJI MANARA BAADA YA KUULIZWA KUHUSU LISHE, SIJAKATAA WATU WASILE

RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA

FAIDA ZA KUFUNGA KULA MLO MMOJA AU MIWILI SEHE YA 3 na Prof Mohamed Janabi INSULIN RESISTANCE

DKT. JANABI KAPIGA TENA, WAPENDA SODA WAFIKIWA, AWAONYA !!

PROF. JANABI : WATU MIL.18 VIFO VYAO VINASABABISHWA NA UNGONJWA WA MOYO SABABU HIZI HAPA

SEHEM YA PILI- FAIDA ZAKUFUNGA KWA KULA MLO MMOJA au MIWILI _Prof Mohamed Janabi

