SABAYA ALIA MAHAKAMANI AKIOMBA AACHIWE - 'SISTAHILI MALIPO HAYA, NILITAKIWA KUULIWA"

SABAYA ALIA MAHAKAMANI AKIOMBA AACHIWE - 'SISTAHILI MALIPO HAYA, NILITAKIWA KUULIWA" ''Shitaka nililotengezewa Polisi wamedanganywa waendesha mashtaka wamedanganywa kwa misingi ya Giriba na Chuki sababu za kisiasa na niaina ya Siasa za Arusha na Hai'' Lengai Ole Sabaya. Sabaya aliileza mahakama kuwa anamshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea kuishi kwakuwa kabla ya kesi kunamambo mengine makwabwa yalikuwa yamepangwa dhidi yake Sabaya machozi yakashindwa uwezo wa mcho kuyazuia huku machozi yakimdoka usoni akiuinamisha chin machozi yakichuruziki moja kwa moja kwenye marakoa nyeupe aliyoivaa mdomoni akiongea kwa huzuni na kwikwi Kwa wiki 3 nilikuwa mkimbizi ndani ya nchi yangu kwa Mara 2 watu walifanyamajaribio ya kutaka kuniua ndania ya wilaya yangu Hakuna viongozi wasiojua hata vyombo vyote vya ulinzi na usalama na mamlka inajua. Na kwavyovyote mh Hakimu Mimi malipo yangu yasingeweza kuwa hayo yakuambiwa nimeiba mali ya mmachinga elfu 35 wakati Mimi niliwahi kuwapigania Mali zao zikarudishwa hayawezi kuwa malipo hayo Mbele ya Mahakama Lengai ole sabaya alianza kuiileza mahakama kuwa Katika shitaka la 3 kabla ya kumuibia Hans simu yake mlimpiga na kuchukua shikingi elf u 35 na kumtishia kwa Bunduki Huyo shahidi anaedaiwa kutendewa hayo alifika mahakamani akiwa shahidi wa 3 katika maelezo yake hapa mahakamani hakuna sehehemu yoyote aliyosema aliwahi kufungwa pingu na Kama ailitishiwa na Bunduki kabla na baada ya kuibiwa fedha Alisema hapa mahakamani hamjui aliyempekua maungoni nani aliyemuobia hiyo simu Sabaya Mbele ya Mahakama aliieleza kua Shahidi huyo namba tatu anaedaiwa kupigwa na kuibiwa simu na fedha na upande wa Jamuhuri Alishindwa kuleta vielelezo vya ushahidi mahakamani wakati akitoa ushahidi wake ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvo... ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY: http://shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

SABAYA ACHANGANYIKIWA NA MASWALI MAHAKAMANI/ AKIRI KUMILIKI SILAHA
▶︎

SABAYA ACHANGANYIKIWA NA MASWALI MAHAKAMANI/ AKIRI KUMILIKI SILAHA

KAKA wa LISU Aibuka KESI ya SABAYA, UTETEZI Wake WATIKISWA MAHAKAMANI, AMGOMEA WAKILI KUSIMAMA...
▶︎

KAKA wa LISU Aibuka KESI ya SABAYA, UTETEZI Wake WATIKISWA MAHAKAMANI, AMGOMEA WAKILI KUSIMAMA...

BREAKING:LENGAI OLE SABAYA AHUKUMIWA MIAKA 30 KWENDA JELA
▶︎

BREAKING:LENGAI OLE SABAYA AHUKUMIWA MIAKA 30 KWENDA JELA

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..
▶︎

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

KESI YA SABAYA: WANANCHI WAFUNGUKA  MWANZO MWISHO/WAKILI ANENA HAYA "WALIFUNGWA PINGU"
▶︎

KESI YA SABAYA: WANANCHI WAFUNGUKA MWANZO MWISHO/WAKILI ANENA HAYA "WALIFUNGWA PINGU"

Vioja Mahakamani I Wafanyikazi Kuiba Vitu Branded za Hoteli
▶︎

Vioja Mahakamani I Wafanyikazi Kuiba Vitu Branded za Hoteli

DC Sabaya awasha moto aagiza Mkurugenzi akamatwe kwa ubadhirifu wa Milioni 700
▶︎

DC Sabaya awasha moto aagiza Mkurugenzi akamatwe kwa ubadhirifu wa Milioni 700

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano  yasiyokuwepo"
▶︎

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano yasiyokuwepo"

MJANE ASHINDWA KUCHUKUA MALI ZAKE za BILIONI 4 ya MIRATHI ya MUMEWE JAPO KASHINDA KESI MAHAKAMA KUU
▶︎

MJANE ASHINDWA KUCHUKUA MALI ZAKE za BILIONI 4 ya MIRATHI ya MUMEWE JAPO KASHINDA KESI MAHAKAMA KUU

MSAKO USIKU WA MANANE, SABAYA AVAMIA GODOWN HEWA AKUTA MAGENDO, PESA, MAFUTA NA POMBE
▶︎

MSAKO USIKU WA MANANE, SABAYA AVAMIA GODOWN HEWA AKUTA MAGENDO, PESA, MAFUTA NA POMBE

FOR RICHER, FOR POORER - MAURICE SAM, SOPHIE ALAKIJA, MAUREEN IHUA, Latest 2026 Nigerian Movie
▶︎

FOR RICHER, FOR POORER - MAURICE SAM, SOPHIE ALAKIJA, MAUREEN IHUA, Latest 2026 Nigerian Movie

DC Sabaya alivyoondoka na waliokula MILIONI 126 "mmekula mafichoni"
▶︎

DC Sabaya alivyoondoka na waliokula MILIONI 126 "mmekula mafichoni"

WAKILI KIBATALA AKUTANA NA SHAHIDI MTATA NA MBISHI AMBANA VIKALI MAHAKAMANI " JAJI ASHANGAA UBISHI"
▶︎

WAKILI KIBATALA AKUTANA NA SHAHIDI MTATA NA MBISHI AMBANA VIKALI MAHAKAMANI " JAJI ASHANGAA UBISHI"

SABAYA ALIVYOBANWA MASWALI NA MAWAKILI WA SERIKALI, AKATAA KUSHITAKIWA NA JAMHURI YA TANZANIA..
▶︎

SABAYA ALIVYOBANWA MASWALI NA MAWAKILI WA SERIKALI, AKATAA KUSHITAKIWA NA JAMHURI YA TANZANIA..

SABAYA AWEKWA HURU KUGOMBEA UONGOZI, AFUTIWA KESI ZOTE, WAKILI WAKE AELEZA
▶︎

SABAYA AWEKWA HURU KUGOMBEA UONGOZI, AFUTIWA KESI ZOTE, WAKILI WAKE AELEZA

Wawili waongezwa na kufika 27 KESI YA LOLIONDO
▶︎

Wawili waongezwa na kufika 27 KESI YA LOLIONDO

SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA
▶︎

SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA

JE UNAJUA SHERIA YA KUKAZIA HUKUMU BAADA YA KUSHINDA KESI
▶︎

JE UNAJUA SHERIA YA KUKAZIA HUKUMU BAADA YA KUSHINDA KESI

SABAYA ASOMEWA MASHTAKA 6, UTAKATISHAJI FEDHA UNYANG'ANYI WA SILAHA NA MENGINE
▶︎

SABAYA ASOMEWA MASHTAKA 6, UTAKATISHAJI FEDHA UNYANG'ANYI WA SILAHA NA MENGINE

"MIMI na MAGUFULI hatuhusiki LISSU kupigwa RISASI MAKONDA" amlipua vikali LISSU
▶︎

"MIMI na MAGUFULI hatuhusiki LISSU kupigwa RISASI MAKONDA" amlipua vikali LISSU