JE UNAJUA SHERIA YA KUKAZIA HUKUMU BAADA YA KUSHINDA KESI

Chamber TV imemtafuta Hakimu Mkazi kujua sheria ya kukazia hukumu. ameweza kueleza kwa undani wa sheria hiyo ambayo ina.pa faraja aliyeshinda kesi #milardayo #simulizinasauti #tuki #bakita #tbc