Pumzika kwa Amani Baba Kardinali Pengo

Pumzika kwa Amani Baba Polycarp Kardinali Pengo (1944 - 2026) Tunasindikiza sala na shukrani zetu kwa Mungu kwa njia ya wimbo - sala. Tunamshukuru Mungu kwa kutujalia kuishi na wewe hapa duniani, kwa miaka 82 uliyoishi ukitutumikia kwa moyo mkuu na unyenyekevu. Wimbo: Pumzika kwa Amani Baba Kardinali Pengo Waimbaji: Kwaya ya Mt. Cecilia Mburahati, Dar es salaam Mtunzi na Organist: Robert A. Maneno (RAM) Studio: The Grand Pro, Tabata DSM Sound Engineer: Villy David Tafadhali fuatilia zaidi kuhusu kwaya yetu ya Mt. Cecilia Mburahati kupitia kwa ku like posts zetu na ku - subsribe kupitia links hizi hapa Youtube:    / @kwayayamt.ceciliamburahati5339   Facebook   / 1aiwymzpxo   Instagram https://www.instagram.com/official_ce...