ASANTE MUNGU - By Fr. A Kauki OFMCap - Kwaya ya Mt.Cecilia Mburahati

Asante Mungu ni wimbo wa Shukrani kwa karamu ya Mwili na Damu ya Bwana wetu Yesu Kristo. Wimbo huu ni utunzi wa Fr. Amedeus Kauki OFMCap. Umeimbwa na Kwaya ya Mt.Cecilia Mburahati, Dar es salaam. Karibu utazame na tafadhali Subscribe channel yetu kwa kubonyeza kitufe cha ku subscribe.