Polisi Dodoma Yawatoa Hofu Wananchi Julai 7, ‘Wananchi Waendelee na Shughuli Zao’
Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma kupitia kwa Kamanda wa Polisi Mkoa ACP Callus Hyera limewatoa hofu wananchi kufuatia taarifa mtandaoni za kuwepo kwa maandamano yaliyopangwa kufanyika Julai 7, 2026. Akiongea Jumapili, Julai 5, 2026, amesema Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limepita kwenye baadhi ya maeneo yenye mikusanyiko ya watu, lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi na usalama katika maeneo hayo. Amesema hakuna taharuki yoyote iliyojitokeza, huku likiwataka wananchi kuendelea na shughuli zao kama kawaida, hata siku ya Julai 7. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Kutuunga mkono: https://thechanzo.com/support/ Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2026 © All Rights Reserved.

"POLISI WANAWEZA KUVUNJA MAANDAMANO" KATAMBI ATOA UFAFANUZI BAADA YA MARUFUKU YA JULAI 7

MAPYA YAUBUKA KIFO CHA MSAIDIZI WA HECHE,POLISI WATOA TAMKO HILI MUDA HUU

Jeshi Laongea Tetesi Maandamano: 'Jeshi halitasita Kuchukua Hatua Kwa Watakaoshiriki Katika Vurugu'

Heche Afunguka Mazito Kifo cha Dereva Wake, 'Si Kifo cha Kawaida', Amshukuru Zitto kwa Salamu

Polisi Yaonya Maandamano Saba Saba, ‘Wamehamasishana Safari Hii Hawaji Kinyonge, Wasithubutu’

KIMENUKA: WAZIRI MKUU ANASA RAMANI YA TISHIO la MAANDAMANO 7/7, ATOBOA SIRI HII TARIME afunguka yote

FURAHA YA WACHEZAJI NDANI YA IRIZAR MPYA/WAISIFIA KWA UBORA WAKE

Waziri Mkuu, leo Julai 2, 2026 akisikiliza kero za wananchi wa Tarime Mjini, Mkoani Mara

Sifuna Escapes Death Narrowly As Hired Goons Attack Convoy In Bungoma

Mikoba ya Demokrasia: Historia ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

MAULID KITENGE AMWAGA SIRI, ATAJA SABABU ZA KUONDOKA NA KUJIUNGA CROWN MEDIA, KIKEKE AMBARIKI

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

MAKONDOKTA WENGI HAWAIPENDI KAZI YAO/ KAULI MBAYA KWA ABIRIA/ NAFANYA KOMEDI KWENYE UHALISIA

Kauli Mpya ya WAZIRI MKUU Yatikisa Wanaopanga Maandamano Nchini!

🔴#BREAKING: WAZIRI wa MAMBO ya NDANI PATROBAS KATAMBI ATOA TAMKO ZITO KUHUSU MAANDAMANO JULAI 7...

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

Wagonjwa wa Gaza wahangaika kupata matibabu licha ya vita kusitishwa. Katika Dira ya Dunia TV.

EXCLUSIVE: JAMES MBOWE AIVAA CHADEMA "WAMEACHA SIASA WANAFANYA HARAKATI"

