"POLISI WANAWEZA KUVUNJA MAANDAMANO" KATAMBI ATOA UFAFANUZI BAADA YA MARUFUKU YA JULAI 7
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, leo amezungumza na vyombo vya habari na kutoa ufafanuzi kuhusu masuala ya kikatiba na kisheria yanayohusu uhuru wa kukusanyika, mikutano ya hadhara na maandamano nchini. Katambi amesema kumekuwa na upotoshaji unaodai kuwa haki ya kukusanyika haina masharti yoyote. Amesisitiza kuwa haki za kikatiba, ikiwemo uhuru wa kukusanyika na kushirikiana na wengine, zinalindwa na Katiba lakini pia zinaambatana na mipaka na wajibu unaowekwa na sheria kwa ajili ya kulinda usalama, utulivu na maslahi ya umma. Aidha, amesema kwa mujibu wa sheria, Jeshi la Polisi linaweza kuzuia au kuvunja mkutano au maandamano pale linapokuwa na taarifa au ushahidi unaoonyesha kuwa shughuli hiyo inaweza kuhatarisha amani, usalama wa wananchi au kwenda kinyume na sheria. Pia amefafanua mazingira ambayo hatua hizo zinaweza kuchukuliwa. Kauli hizo zinakuja wakati mjadala kuhusu mikutano ya hadhara na maandamano ukiendelea nchini. TMC NEWS | Shaping The Future Asante kwa kufuatilia TMC NEWS. Subscribe, Like na Share ili kuendelea kupata habari za uhakika, matangazo ya moja kwa moja na uchambuzi wa kina kutoka Tanzania na duniani. 🔔 Washa arifa (Notifications) ili usipitwe na taarifa muhimu. 📢 Kwa matangazo, ushirikiano na maoni: 📧 [email protected] 📞 +255 674 075 414 🌐 Tufuatilie kwenye mitandao yote ya kijamii: @tmcnewsmedia #TMCNews #ShapingTheFuture #BreakingNews #TanzaniaNews #LiveNews#PatrobasKatambi #WaziriWaMamboYaNdani #Maandamano #MikutanoYaHadhara #Katiba #Sheria #JeshiLaPolisi #Tanzania #Siasa #SiasaTanzania #HabariZaLeo #BreakingNews #TMCNews #Demokrasia #UtawalaWaSheria #News #ShapingTheFuture @tmcnews565

BIBI ALIVYOWALIZA WENGI MBELE YA WAZIRI MKUU MWIGULU NCHEMBA, MARA

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

Senate Drama Turns WILD: Sifuna Corners Kihika Over War Memorial Hospital Closure|Plug Tv Kenya

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Leo Jioni | Julai 2, 2026 | Swahili News

TARIME WAKATAA UNYONGE WASHUSHA HOJA NZITO KWA WAZIRI MKUU

WAKILI MSOMI AMTWANGA VIKALI WAZIRI KATAMBI SAKATA LA KUMUAMRISHA IGP, "ASIJIONE SEHEMU YA POILISI"

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

Joakim Simiyu: Kenya’s Economic Crisis Is Fueling Protests, Abductions & Lawlessness

SHEIKH MUHORO AFICHUA MACHAFU YOTE YA OSTAZ JUMA NAMUSOMA/ AIBU TUPU/ HUWEZI KUCHAFUA MASHEIKH WETU

TAMKO: CHADEMA JUU YA DEREVA WA HECHE MAREHEMU

WANAHARAKATI : MJADALA MZITO KIFO CHA DEREVA WA JOHN HECHE MAPYA KUELEKEA MAANDAMANO 7/7

JAMES MBOWE ATEMA CHECHE KUHUSU WAZIRI KATAMBI KUFUNGIA MIKUTANO YA KISIASA

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

UKWELI WOTE: MBOWE Ndio Chanzo cha JAMES MBOWE KUHAMA CHADEMA? Aeleza Mazito

"Soon u won't be a president's Son.." Akena Obote wonders why a 27th in hierarchy control everything

ESE RT HON. BERNARD MAKUZA YABA AKOMERETSWA N'IMVUGO ZA DR BIZIMANA?

MZEE SAIDI:AKUTANA USO KWA USO NA ARAFAT HAJI/UBINGWA YANGA WALISTAHILI KWA JITIHADA ZAO HAWAKUBEBWA

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

සලේ ජීවිත පරදුවට තියලා මුරපද ආරක්ෂා කරගැනීමට හේතුව ගම්මන්පිල කියයි - හෙළිදරව්වීම හරිම සංවේදීයි

