ENEO LA UWEKEZAJI WA VIWANDA - DUNGA ZUZE.

Uwekezaji wa sekta ya viwanda katika eneo la Dunga Zuze Zanzibar, ni muhimu katika kuimarisha uchumi wa nchi, miundombinu, usafirishaji na ajira kwa vijana wa Zanzibar. Pia viwanda hivyo vitachangia pato la Taifa na mtu mmoja mmoja.