RAIS MWINYI AWAKA ZANZIBAR KILA SIKU MAMBO MAPYA DUNGA KUMENOGA
7 AGOSTI 2024 WILAYA YA KATI - MKOA KUSINI UNGUJA RAIS MWINYI UWEKAJI JIWE LA MSI NGI – DUNGA ZUZE Rais wa Zanzibar na Mweyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itapiga hatua muhimu katika sekta ya Uwekezaji kwa kuwa na Maeneo ya Uwekezaji yenye Miundombinu yote itakayowavutia Wawekezaji kuja kuwekeza nchini. Rais ametoa tamko hilo leo tar 07 Agosti 2024 wakati wa uwekaji wa jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barbara kaitka eneo la Viwanda Dunga. Dk, Mwinyi amesema hatua hiyo inalenga kuchochea Maendeleo ya kiuhumi, Uwekezaji na kupunguza Umasikini kwa wananchi kwa kuongeza kipato Chao. Amefahamisha kuwa Uwekaji wa jiwe hilo la msingi ni utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2050 na ilani ya CCM na Mpango wa Maendeleo wa ZanzibarZADEP unaolenga kukuza mchango wa sekta ya Viwanda katika Uchumi. Rais Mwinyi amesisitiza kuwa Mkakati wa kuimarisha mtandao wa Barabara ni kuunganisha maeneo yote ya Uzalishaji na masoko, kupunguza gharama za Usafirishaji katika maeneo ya Viwanda. Akitoa taarifa ya kitaalamu ya Ujenzi huo Katibu Mkuu wa wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Nd, Fatma Mbarouk ameyataja maeneo ya Dunga Zuze,Pangatupu na Chamanangwe Pemba kuwa ni maeneo makuu ya kimkakati ya Uwekezaji wa Viwanda yanayoimarishwa ili kuwavutia Wawekezaji.. Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Mh, Omar Said Shaaban amesema kinachofanyika sasa ni utekelezaji wa sera ya Viwanda va 2019-2026 na tayari Wizara imeandaa mpango maalum wa kutathmini changamoto zinazoiathiri delta ya Viwanda nchini. Rais Mwinyi alishuhudia Utiaji wa saini wa miradi ya Ujenzi wa Kiwanda cha dawa na chanjo za binaadamu , Ujenzi wa Maabara zitakazohusika na Ukaguzi wa bidhaa za viwandani na Kiwanda cha Uunganishaji wa Magari .

#ZANZIBAR KUWA NCHI YA KWANZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI

MFAHAMU MKAAZI WA DUNGA ALIYEZALIWA MKESHA WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB

RAIS MWINYI AKAGUA VIWANDA " MAKONTENA YANAKWENDA NJE MATUPU, TUNAZALISHA KIDOGO SANA"

🔴 #LIVE:- UFUNGAJI WA KOZI YA MAAFISA WANAFUNZI MKUPUO WA 06 2024/2025

MAMLAKA YA MJI MKONGWE YAWABANA WAFANYABIASHARA HOLELA DARAJANI

RAIS MWINYI ALIVYOTINGA SOKO LA MWANAKWEREKE NA MKEWE KUNUNUA BIDHAA

HII AIBU!CHAKE-WETE WAMEKOSA NINI?HAKUNA SIASA KWENYE HILI JAMBO| SIASA YETU KUTENGENEZA BARABARA

FOLENI SASA BASI BUBUBU BARAZA LA WAWAKILISHI LAJADILI UJENZI WA MADARAJA ZANZIBAR

KUMEKUCHA KWA MARAYAKWANZA RAIS MWINYI UZINDUZI MELI YA MAKONTENA MKOANI PEMBA

#ZANZIBAR YABADILIKA KILA KUKICHA

RAIS DK HUSSEIN MWINYI ATINGA MSIKITINI NA KUTOA MAAGIZO

UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI ENEO LA VIWANDA DUNGA ZUZE

HII NDO AHADI YA RAIS MWINYI 2025 ZANZIBAR HUTOAMINI MACHO YAKO

KUMEKUCHA ACT! ABUWA MAZITO AFUNGUKA KUHUSU BAJETI YA ZANZIBAR 2026/2027

RAIS MWINYI UZINDUZI NYUMBA CHUMBUNII KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA MAKAAZI BORA YA KUISHI. ZNZ

MKAKATI WA MAGARI MABOVU KUTOKUINGIA ZANZIBAR WAKAMILIKA

MWAFAKA WAIVA ZANZIBAR,SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA (SUKI) MBIONI KUREJEA

Hii hapa Siri ya Mafanikio ya Awamu ya 8

