065 - Martha Na Maria (Swahili)

Maandiko ya kumbukumbu: Luka 10: 38-42 Yesu aambia Martha ya kuwa kumsikiza yeye ndio kitu cha maana zaidi maishani. Swali 1: Ni kwa nini Yesu wakati mwingi hataki tumfanyoia kazi kwa bidii? Swali 2: Je wewe ni kama Mariamu ama Martha? Kwa nini? Swali 3: Ni kitu gani tunachokosa wakati tunashughulikia sana utendaji badala ya uhusiano? Tunaweza kuchukua hatua zipi kurekebisha haya? Tazama, pakua, au chapisha swali za majadiliano za Injili ya Kimataifa: https://drive.google.com/file/d/0B6kd...