066 - Yesu Amponya Mwanamke Kilema (Swahili)

Maandiko ya kumbukumbu: Luka 13: 10-17 Mtawala wa sinagogi akasirika kwasababu Yesu anaponya mwanamke siku ya Sabato. Swali 1: Ni mvutano gani kanisa inapitia leo kuhusu kutunza watu na kuweka sheria ya dini? Swali 2: Unaweza kuiga aje huruma za Yesu kwa watu wanaoumia, hata hadharani? Swali 3: Yesu anaweka kusaidia watu mbele ya kusaidia wanyama. Unaweza kuelezeaje orodha yako kwa kulinganisha na yake? Tazama, pakua, au chapisha swali za majadiliano za Injili ya Kimataifa: https://drive.google.com/file/d/0B6kd...