TAZAMA: MWENGE WA UHURU WILAYANI MUHEZA
Mwenge wa uhuru wilayani Muheza mkoani Tanga umekagua, umezindua , kutembelea na kuweka jiwe la msingi miradi nane yenye thamani ya shilingi bilioni 5. 6 Miradi hiyo ya maendeleo ni pamaja na afya , maendeleo ya jamii, utunzaji wa Mazingira, barabara,uchumi pamoja na sekta binafsi. Akizungumza katika mradi wa ujenzi wa daraja ( Box Culvert) mkimbiza mwenge kitaifa Abdallah Shaibu Kaimu ameipongeza Serikali ya awamu wa sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanga kwa wananchi wake kuwaletea miradi mikubwa ya maendeleo ambayo inaondao changamoto katika maeneo yao. Kwa upande mbunge wa Muheza Mhe. Hamis Mwinjuma amesema ujenzi wa daraja hilo ni mkombozi mkubwa kwa wakazi wa vijiji vya Zeneti, Bwiti na Kimbo kuwaunganisha katika shughuli za kiuchumi hasa katika nyakati za mvua. Nao baadhi ya wananchi wa vijiji hivyo wamemshukuru Rais Dkt. Samia Samia kwa kuwapa fedha na kuhakikisha daraja hili linakamilika kwa wakati ili kuondoa adha kubwa waliyokuwa wanaipata hasa katika kipindi cha mvua.

BMG TV: Cheki balaa la Mwenge wa Uhuru 2023 Buchosa, Sengerema

DU.....! WALICHOKIFANYA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU MBELE YA RAIS SAMIA LEO MWANZA

Muheza Muslim yaomba kupigwa jeki ujenzi wa maabara ya kujifunzia sayansi

LIVE: RAIS SAMIA AKAGUA BANDARI YA TANGA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

#TAZAMA| RC TANGA ABAINI MADUDU MUHEZA, AWASIMAMISHA KAZI VIGOGO 4

KILA KIPANDE CHA ARDHI JIJI LA TANGA KITAPATIWA HATI.

shotfilm - muheza tanga

KATIBU MKUU NCHIMBI ACHUKIZWA na KAULI ya KIJANA wa CCM ya KUWAPOTEZA WANAOMSEMA RAIS SAMIA...

Shangwe za wasanii wilayani Muheza kwenye uzinduzi wa kampeni ya Mwana fa

NDC -TZ YAPONGEZA UWEZO WA BANDARI YA TANGA

Male lion attacks over 20 hyenas

RC TANGA AUNDA KAMATI KUCHUNGUZA UVUNJWAJI WA NYUMBA KIJIJI CHA MSAKANGOTO, MUHEZA

🇪🇹Top 30 Massive Projects Transforming Ethiopia

TANGA: UKIITAZAMA UTAIPENDA JINSI ILIVYO PAMBWA /UREMBO,UTAMADUNI,VYAKULA NA KAZI ZAO.

African Village life | Market Day in Muheza Tanzania

RC TANGA APONGEZA MRADI WA MIFUGO MRUAZI KUINUA VIJANA

Natembeya vs Chesang: The KSh 5 Million Coffin War Tearing Trans Nzoia Apart

#MAKALA: MAKAZI SOLUTIONS LTD YATANGAZA FURSA KUBWA YA VIWANJA KWENYE LANGO KUU LA UCHUMI KIPUMBWI

JIJI LA TANGA NA KILIMO CHA MWANI.

