MWANAUME AJERUHIWA VIBAYA MARIKITI KUTOKANA NA TUHUMA ZA WIZI WA NYETI
Mwanamume mmoja amejeruhiwa vibaya katika eneo la Marikiti mjini Mombasa baada ya kushambuliwa na umati wa watu waliomtuhumu kuhusika na madai ya kupotea kwa sehemu za siri za wanaume. Akithibitisha tukio hilo, mkuu wa polisi wa Mvita, Nicholas Chalulot, amesema mwanamume huyo aliokolewa na maafisa wa polisi baada ya umati kuanza kumshambulia kutokana na tuhuma hizo ambazo bado hazijathibitishwa. Kwa mujibu wa polisi, majeruhi amepelekwa hospitalini kwa matibabu huku uchunguzi ukianzishwa ili kubaini chanzo cha madai hayo na mazingira yaliyosababisha wananchi kuchukua hatua hiyo. Chalulot amewataka wakazi wa Mombasa kuepuka kueneza uvumi na kuchukua sheria mikononi, akionya kuwa yeyote atakayepatikana akihusika katika vitendo vya kueneza uvumi na kuhatarisha maisha atachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

🔴#Live: SAKATA LA RIAL 480,DADA AFICHUA UKWELI NILIKUWA NAMUHONGA KAKA ILI ANIOE...#mapito

VIONGOZI WA VIJANA WAPINGA MAANDAMANO MOMBASA

I went to the most dangerous streets to film in this neighbourhood of Nairobi Kenya (unbelivable)

POLISI KATIKA KAUNTI YA KILIFI WANACHUNGUZI MAUAJI YA KUTATANISHA YA MWALIMU MSTAAFU.

SUMBAWANGA 😱| Ep 13 | NEW BONGO MOVIE (2026)

🔴#LIVE: CHADEMA WAITIKISA MPANDA WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

MSICHANA WA MIAKA 6 ANAYEDAIWA KUTESWA NYUMBANI KWA MJOMBA WAKE LIKONI AOKOLEWA NA POLISI

GB 64 AMJIBU ALLY KAMWE KUUNGANA NA AZAM FC DHIDI YA SIMBA

Overpowered Police resorts to teargas Kenyans at their Homes Githurai after Protesters defeated them

BANGI YENYE THAMANI YA MILIONI 6 YANASWA NA POLISI MTOPANGA KAUNTI YA MOMBASA

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

PRINCE ANAOA MWANAMKE ANAEPENDA KULANA KILA SAA ANAGAWA KWA WANANCHI VICHAKANI |Movie recap swahili.

How I travelled from Nairobi to Sugoi, home village of President William Ruto. Different transport..

Makarao walifinywa na illuminatì agent wakajikojolea😪Hawatawi rudi kwa senior dave tena😓

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

EXCLUSIVE: Ground Report from Ongata Rongai During Maandamano 2026

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

How I Was Deported From The US

Iran anavyotumia Lebanon kurudisha ushawishi wake

