WALIOKOSA SIFA ZA KUPIGA KURA WAFUTWA
Tume ya Uchaguzi Zanzibar, ZEC, imetoa maelekezo kuhusu namna mchakato wa upigaji kura na utoaji wa matokeo utakavyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu. Akitoa taarifa mbele ya mkutano wa wadau wa siasa na baadae kuzungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Uchaguzi, Thabit Idarous amesema daftari la wapiga kura limeshafungwa rasmi na jumla ya wapiga kura 8,325 wamefutwa kwenye daftari la kudumu kwa kukosa sifa, na hivyo wapiga kura halali kwa mwaka huu ni 717,557 na vituo vya kupigia kura vitakuwa 407 na vituo vidogo vya kupigia kuwa vitakuwa 1752. Na jambo la kimepee kuwa wameimarisha upigaji wa mapema kwa kutenga vituo 50 kwa kila jimbo.

▶︎
MIKAKATI YA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR /KAMPENI HADI KUPIGA KURA

▶︎
TUHUMA UPIGAJI KURA ZA MAPEMA ZANZIBAR, WAGOMBEA WA ACT WAZALENDO WALALAMIKA "HAWAPAKWI WINO"

▶︎
#EXCLUSIVE: JECHA ALIVYOFUTA UCHAGUZI 2015, MKURUGENZI ZEC afunguka "HAKUONEKANA MAENEO YA WAZI"

▶︎
🔴LIVE :TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR WAFANYA MKUTANO NA WADAU WA UCHAGUZI 20/11/2025

▶︎
DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

▶︎
NEC YATOA MAJUKUMU YA WASIMAMIZI WA UPIGAJI KURA

▶︎
Maoni ya marekebisho ya rasimu ya sheria ya ZSSF

▶︎
ZEC officially announces the center that will announce the results of the 2025 General Elections ...

▶︎
Undani wa mgombea urais CUF kuenguliwa Zanzibar

▶︎
ELIMU YA MPIGA KURA: Siku ya Kupiga Kura na mambo ya kuzingatia katika Uchaguzi Mdogo Kata 13

▶︎
BBAA KUMEKUCHA-KUMEKUCHA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR ZINASHIDA HAIJAKAA KWENYE HADHI LAKIN ZISHABORESH

▶︎
@vugaonlinetv: DAKIKA 36 ZA Mhe OTHMAN MASOUD #KIWANI #PEMBA KATIKA MKUTANO WA HADHARA 30.01.2025

▶︎
WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

▶︎
DKT MWINYI AVUNJA UKIMYA KWA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR

▶︎
UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

▶︎
Kura ya mapema Oktoba 28 Zanzibar, uchukuaji fomu wiki ijayo

▶︎
HOTUBA YA MHE. OTHMAN MKUTANO WA HADHARA GOMBANI PEMBA

▶︎
ZEC YAANZA KUTOA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2025

▶︎
MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR ATOA TAARIFA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU MWAKANI.

▶︎
