Undani wa mgombea urais CUF kuenguliwa Zanzibar
Wakati Tume ya Uchaguzi Zanzibar ikikamilisha zoezi la kupokea fomu za uteuzi wa wagombea urais wa Zanzibar, mgombea wa urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Hamad Masoud, ameenguliwa kwenye uteuzi huo baada ya kutokamilisha taratibu za wadhamini katika mkoa mmoja. Aidha, Chama cha ACT Wazalendo kimetakiwa kukamilisha taratibu za fomu za wadhamini kabla ya saa tatu asubuhi kesho, baada ya kubainika kwa mapungufu katika fomu hizo. #AzamTVUpdates ✍Mtumwa Saidi Mhariri | John Mbalamwezi

▶︎
CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

▶︎
TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR ZEC YAWEKA WAZI WAGOMBEA KITI CHA URAIS WAMO AKINA OMO NA MWINYI.

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
WAZIRI MWIGULU AZUA TAHARUKI BUNGENI | HECHE NA WANAHARAKATI HALI TETE | TOKENI MBELE MUANDAMANE

▶︎
SIRI NZITO ZANZIBAR: OTHMAN MASOUD AFUNGUKA/ ALICHOKIACHA MAALIM SEIF/ UCHAGUZI 2025

▶︎
Kush eshte Dritan Goxhaj? Flet Ilir Kulla | Zone e Lirë

▶︎
TAZAMA CHAMA CHA CUF KILIVYOENGULIWA KATIKA UGOMBEA KITI CHA URAIS 2025

▶︎
'Methadone'ni tiba,si dawa ya kulevya

▶︎
🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

▶︎
HAMAD MASOUD ANACHOKITAFUTA ATAKIPATA LEO HII RASMIN SASA KUCHUKUA FOMU KUGOMBEA MWENYEKITI CUF

▶︎
WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU

▶︎
ACT WAZALENDO WAYASIKILIZA MAAMUZI YA TUME YA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR.

▶︎
MIKAKATI YA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR /KAMPENI HADI KUPIGA KURA

▶︎
#EXCLUSIVE: JECHA ALIVYOFUTA UCHAGUZI 2015, MKURUGENZI ZEC afunguka "HAKUONEKANA MAENEO YA WAZI"

▶︎
TUHUMA UPIGAJI KURA ZA MAPEMA ZANZIBAR, WAGOMBEA WA ACT WAZALENDO WALALAMIKA "HAWAPAKWI WINO"

▶︎
BUDGET PARLIAMENT | QUESTION AND ANSWER SESSION 05/26/2026

▶︎
OMO aanza kampeni kwa kuibua ufisadi mkubwa | GUMZO LA UCHAGUZI

▶︎
MWENYEKITI WA ZEC ATOA UFAFANUZI MAAMUZI YA TUME KWA CHAMA CHA ACT WAZALENDO NA CUF.

▶︎
UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

▶︎
