NMB YATOA MIKOPO YA RIBA YA ASILIMIA TISA

Katika juhudi za kuwezesha na kuboresha mnyororo mzima wa thamani wa kilimo, uvuvi na ufugaji nchini; tumeingia makubaliano na wizara ya kilimo kushirikiana katika kukuza sekta hii Tumetenga Sh. Bilioni 100 zitakazokopeshwa kwa riba ya asilimia 9 kwa wakulima, wavuvi, wafugaji na wafanyabiashara kwenye mnyororo wa thamani katika sekta hizo. Tsh Bilioni 20 zimetengwa kwaajili ya mikopo itakayosaidia ujenzi wa maghala ya kuhifadhi mazao maeneo ya vijijini nia ikiwa ni kusaidia kunusuru upotevu wa mazao. Hii ni fursa kwa wakulima, wavuvi, wafugaji na wajasiliamali wa kilimo kujipatia mikopo nafuu na kujiongezea kipato. Hafla ya kutangaza makubaliano hayo ilifanyika leo jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe na ujumbe wa Benki yetu uliongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu, Bi. Ruth Zaipuna.

MIKOPO YA KILIMO NA BIMA YA MAZAO/ MIFUGO SHAMBANI - UTARATIBU WOTE WA CRDB BANK HUU HAPA.
▶︎

MIKOPO YA KILIMO NA BIMA YA MAZAO/ MIFUGO SHAMBANI - UTARATIBU WOTE WA CRDB BANK HUU HAPA.

WAKULIMA WAFIKE BANK NMB KWAAJILI YA KUTOKA KWA VIKWAZO  MIKOPO
▶︎

WAKULIMA WAFIKE BANK NMB KWAAJILI YA KUTOKA KWA VIKWAZO MIKOPO

KILIMO CHA MACHUNGWA KIBIASHARA, MATUNDA 1500, ZINGATIA MICHE BORA NA UTUNZAJI WA SHAMBA, EKARI 300
▶︎

KILIMO CHA MACHUNGWA KIBIASHARA, MATUNDA 1500, ZINGATIA MICHE BORA NA UTUNZAJI WA SHAMBA, EKARI 300

PATA MSHIKO FASTA KUPITIA NMB MKONONI NI RAHISI SANA SIKILIZA KWA UMAKINI MANENO YA MENEJA
▶︎

PATA MSHIKO FASTA KUPITIA NMB MKONONI NI RAHISI SANA SIKILIZA KWA UMAKINI MANENO YA MENEJA

IFAHAMU AKAUNTI YA HODARI KUTOKA CRDB KWA AJILI YA WAJASILIAMALI WOTE.
▶︎

IFAHAMU AKAUNTI YA HODARI KUTOKA CRDB KWA AJILI YA WAJASILIAMALI WOTE.

NBC YAJA na MIKOPO ya MATREKA, ZANA za KILIMO Kwa WAKULIMA..
▶︎

NBC YAJA na MIKOPO ya MATREKA, ZANA za KILIMO Kwa WAKULIMA..

MIKOPO YA KILIMO YASOGEZWA KARIBU NA WAKULIMA
▶︎

MIKOPO YA KILIMO YASOGEZWA KARIBU NA WAKULIMA

TADB yawahimiza wakulima na wafugaji kuchangamkia mikopo 'dhamana ipo'
▶︎

TADB yawahimiza wakulima na wafugaji kuchangamkia mikopo 'dhamana ipo'

IFAHAMU JOACK COMPANY LTD | KAMPUNI BORA YA KILIMO NA MIFUGO TANZANIA
▶︎

IFAHAMU JOACK COMPANY LTD | KAMPUNI BORA YA KILIMO NA MIFUGO TANZANIA

UKIWEKA MILIONI 100 UNAONGEZEWA MILIONI 19 --- NMB WAFAFANUA KITU KIPYA KINAITWA AKIBA PLUS
▶︎

UKIWEKA MILIONI 100 UNAONGEZEWA MILIONI 19 --- NMB WAFAFANUA KITU KIPYA KINAITWA AKIBA PLUS

MTANZANIA AACHA KAZI BENKI na KUANZISHA KAMPUNI KUBWA ya MIKOPO PROSHARE - UNAPEWA MIL 1 - 100 CHAP
▶︎

MTANZANIA AACHA KAZI BENKI na KUANZISHA KAMPUNI KUBWA ya MIKOPO PROSHARE - UNAPEWA MIL 1 - 100 CHAP

TADB YATANGAZA FURSA ZA MIKOPO YA KILIMO | YATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA
▶︎

TADB YATANGAZA FURSA ZA MIKOPO YA KILIMO | YATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA

Jinsi ya Kutumia Sprayer Mashine | Mashine ya kupulizia dawa shambani | mashine ya kupiga dawa
▶︎

Jinsi ya Kutumia Sprayer Mashine | Mashine ya kupulizia dawa shambani | mashine ya kupiga dawa

NMB WATOA MKOPO WA RIBA NAFUU YA ASILIMIA 9
▶︎

NMB WATOA MKOPO WA RIBA NAFUU YA ASILIMIA 9

Mwone Mizengo Pinda akipambana shambani kutafuta pesa
▶︎

Mwone Mizengo Pinda akipambana shambani kutafuta pesa

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Kilimo cha kisasa
▶︎

Kilimo cha kisasa

FURSA ZA AJIRA NA MIKOPO KWA VIJANA WA KITANZANIA/ JAZA FOMU BBT/  KILIMO BIASHARA.
▶︎

FURSA ZA AJIRA NA MIKOPO KWA VIJANA WA KITANZANIA/ JAZA FOMU BBT/ KILIMO BIASHARA.

Tunatoa mikopo kwa wakulima, wavuvi na wafugaji- CRDB
▶︎

Tunatoa mikopo kwa wakulima, wavuvi na wafugaji- CRDB

KITUO CHA MAFUTA KWA MILIONI  50 INAWEZEKANA EWURA YAWEKA WAZI MBINU ZA UWEKEZAJI KWA WATANZANIA.
▶︎

KITUO CHA MAFUTA KWA MILIONI 50 INAWEZEKANA EWURA YAWEKA WAZI MBINU ZA UWEKEZAJI KWA WATANZANIA.