MAKAMU WA RAIS, DK. MPANGO NA FAMILIA YAKE WASHIRIKI SENSA/ATOA UJUMBE KWA WAKAZI WA DAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dk. Philip Mpango leo tarehe 23 Agosti 2022 ameshiriki zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ambapo yeye pamoja na familia yake wamehesabiwa katika makazi yao Kijiji cha Zogowali kata ya Chanika Wilaya ya Ilala Jijini Dar es salaam. Akizungumza mara baada ya kushiriki zoezi hilo, Makamu wa Rais ametoa rai kwa watanzania wote kutoa ushirikiano kwa makarani wa sensa ili waweze kupata taarifa sahihi zitakazowezesha serikali kupanga vema maendeleo. Amesema zoezi la sensa ni wajibu wa kila mtanzania hivyo inapaswa kufanywa kwa uadilifu mkubwa. πJE, NA WEWE UNA HABARI? πWASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), πWhatsApp (+255 767 400402) πEmail: [email protected] πKWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com

ππ’π‘ππ’π’; π¦πππ¨ π¬π π£πππ ππππ₯π π¬π π ππππ π¨ πͺπ π₯πππ¦ π ππ’ππ‘π π§πππ’π₯π

MJENGO WA DR. MPANGO KIJIJINI UGENI ULIVYOMIMINIKA KISA PONGEZI, ASKARI KUWEKA FAMILIA ENEO SALAMA

02 UTANGULIZI WA TAFSIR YA IBN KATHIR

#TAZAMA| MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO ATINGA KIJIJINI KASUMO ALIPOZALIWA

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

MAKAMU WA RAIS KIJIJINI KWAO ALIPOZALIWA, MAJIRANI NYUMBA KWA NYUMBA APITA AKIWASALIMIA βSOMENI''

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

Mr Beans Zahnarztprobleme | Mr Bean Deutschland

#TAZAMA| MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AWAAGIZA VIONGOZI KIGOMA, KUTATUA CHAGAMOTO

How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed

#TAZAMA| MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO ASHIRIKI IBADA AKIWANA WASAIDIZI WAKE KANISANI

OFISINI KWA RAIS SAMIA IKULU, AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS MPANGO WAFANYA MAZUNGUMZO

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa nβabandi | Ukuri kwβamateka no kwicuza

Chinaβs Giant Cassava Flour Factory Exposed

Dkt. Ngwaru Maghembe Mbunge wetu Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania πΉπΏ

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

π΄LIVE:Rais Samia Akishiriki Ufunguzi wa Jengo la Tiba ya Mionzi Katika Hospital ya KCMC-MOSHI

BREAKING NEWS: KIGOGO ATOBOA SIRI MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO AOMBA KUJIUZULU TAZAMA

π΄LIVE:CHADEMA WANAUWASHA MOTO MBEYA MJINI MAELFU YA WAFUASI WAFURIKA

