LILITH- MWANAMKE ALIYEGEUKA NYOKA EDENI NA KUMDANGANYA EVA
#Lilith #BibliaTakatifu#SiriZaBbiblia Lilith ni jina la mwanamke ambaye katika hadithi fulani za Mesopotamia ya kale anatajwa kama mungu mke. Biblia inasimulia jinsi dunia ilivyoumbwa na mwanzo wa ubinadamu. Katika maandiko hayo, inasemwa kwamba Adamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu, na baada ya kumuumba Adamu, alichukua ubavu kutoka kwa Adamu na kumuumba Hawa. Ni kweli hadithi za uumbaji zina changamoto kuzifahamu sawasawa, hususani kitabu cha Mwanzo 1:26 na Mwanzo 2. Uumbaji wa mwanamke unatajwa sehemu hizo mbili, lakini kwa namna tofauti, kwa kuwa ni visasili tofauti. Katika Mwa 1:26 Mungu aliwaita wote Adamu na Eva. Katika Mwa 2 Mungu anamuumba Hawa baada ya kuchukua ubavu wa Adamu na kumfanya mwanamke. Isa 34:14 tu inamtaja Lilith, na jina hilo linatafsiriwa pengine "Bundi", sambamba na wanyama wengine wanaotajwa katika mstari huo na ule unaofuatwa. Wanaokubali hadithi hiyo wanadai Lilith, si Hawa, ndiye mwanamke wa kwanza ulimwenguni naye aliumbwa na Mungu wakati mmoja na Adamu. Inasemekana kwamba Lilith alifukuzwa na kukataliwa na Mungu baada ya kupatikana kuwa alikuwa mwenye nguvu zaidi na mwenye akili zaidi ya Adamu na hakutii amri za Adamu. Wanadai Lilith haikutajwa katika kitabu cha Mwanzo kwa kuwa inakwenda kinyume na jadi ya kutaka mnanamke atii mwanamume na wanawake kuwa katika hali ya chini kuliko wanaume. Wanadai pia Biblia ya sasa imepitia vichujio vingi vya kidini ili kuhakikisha kwamba inapoteza baadhi ya sehemu muhimu. Hata hivyo, kuna sehemu ambayo imeachwa ndani yake ambayo inaonyesha kwamba Mungu hakumuumba mwanamume tu bali alimuumba mwanamke kwa wakati huohuo, badala ya simulizi la ubavu kuchukuliwa kutoka kwa Adamu kama ilivyopendekezwa kwenye Biblia.

The Story Book UCHAWI (Season 02 Episode 05) with Professor Jamal April

LILITH MKE WA KWANZA WA ADAMU KABLA YA EVA KWENYE BIBLIA? MWL KYABASHASA AMTAJA GEOR DAVIE NA ISAYA

IBRAHIM ALIVYOKABIDHIWA ISRAEL/KAANANI NA MUNGU

KITABU CHA HENOKO KIMEBEBA SIRI NYINGI ZA UCHAWI NDIYO MAANA KILITOLEWA KWENYE BIBLIA

The Sory Book : SALEM ‘Mji Uliolaaniwa na Wachawi’

LILITH ALIZAA NA ADAMU WATOTO 200 AKAWAGEUZA VIUMBE WA AJABU

The UNTOLD Story Behind the Book of Jubilees (Full Bible Movie 4K)

MELCHIZEDEK niwe muntu wamayobera muri bibiliya,niwe mayobera yambere atarasobanuka muri bibiliya

#TheStoryBook Mikasa Ya Wasafiri Wa Ajabu Katika Muda / TIME TRAVEL (Season 02 Episode 04)

JE, Ni Kweli LILITH Alikuwa Mke wa Kwanza Wa ADAM?

The Story Book : Kisa cha Shetani ‘Lucifer’ Kulaaniwa (Kwa Mujibu wa Bibilia)

The Story Book: Juja na Maajuja ‘Viumbe Watakaoiteka Dunia Kabla Ya Kiama’

Igitabo cya(ENOKI) Enoch cyakuwe muri bibiliya cyavugaga kubivejuru,amabanga yijuru,biteye ubwoba

HISTORY OF PILATE/THE MOST CRUEL KING IN THE WORLD

ISRAELI NA UKWELI USIOJULIKANA // AHADI INAYOTIMIA SASA

EVA HAKUWA MKE WA KWANZA WA ADAM LILITH NDIYE MKE WAKE WA KWANZA

"KAINI" MWANADAMU WA KWANZA KUZALIWA NA WA KWANZA KUUA

ADAM NA EVA(HAWA) SWAHILI FULL

UKWELI KUHUSU NYOKA KWENYE BUSTANI YA EDENI.

