Changamoto ya Mafuta: Rais Samia Atangaza Kukata Misafara, Asisitiza Kupunguza Matumizi ya Mafuta

Akizungumza leo Aprili 08, 2026, wakati wa uapisho wa viongozi mbalimbali Ikulu Dodoma, Rais Samia Suluhu, ametoa maagizo kwa taasisi za serikali kupunguza matumizi ya mafuta ili kukabiliana na hali mshtuko wa mafuta wa dunia. "Ndani ya serikali tuna matumizi makubwa sana ya mafuta magari ni mengi, safari zetu ni nyingi, niwaombe sana tuanze kupunguza matumizi ya mafuta. Nami naanza na ofisini kwangu ninapotembea, maafisa wote wakubwa wote na magari yao nyuma wananifuata, kuanzia sasa ninapokwenda kokote wote nitawaingiza kwenye basi moja," alieleza Rais Samia. "Msafara utakuwa escort yangu ya polisi na yangu na gari ya akiba nyuma wanaobakia wote nawaingiza kwenye basi kukata matumizi ya mafuta. Kwa hiyo ninaomba na nyie katika maeneo yenu tukate matumizi ya mafuta," amesisitiza Rais Samia. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Kutuunga mkono: https://thechanzo.com/support/ Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2026 © All Rights Reserved.

Hotuba Nzima ya Rais SAMIA Akizungumza na WAZEE wa DAR ES SALAAM | Atoa Ujumbe Mzito
▶︎

Hotuba Nzima ya Rais SAMIA Akizungumza na WAZEE wa DAR ES SALAAM | Atoa Ujumbe Mzito

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

Kush eshte Dritan Goxhaj? Flet Ilir Kulla | Zone e Lirë
▶︎

Kush eshte Dritan Goxhaj? Flet Ilir Kulla | Zone e Lirë

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

HECHE ATEMA CHECHE SAKATA LA KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA, AFUNGUKA SIRI NZITO, AHOJI MASWALI MAZITO
▶︎

HECHE ATEMA CHECHE SAKATA LA KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA, AFUNGUKA SIRI NZITO, AHOJI MASWALI MAZITO

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI
▶︎

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'
▶︎

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'

Mwigulu Apigilia Msumari Suala la Utulivu,  Aonya Wanaohamasisha Vijana, Walioko Nje
▶︎

Mwigulu Apigilia Msumari Suala la Utulivu, Aonya Wanaohamasisha Vijana, Walioko Nje

Heche Awatabiria Waliofanya Mauaji Oktoba 29 Kukutana na Yaliyomkumba Mnazi Hitler na Wafuasi Wake
▶︎

Heche Awatabiria Waliofanya Mauaji Oktoba 29 Kukutana na Yaliyomkumba Mnazi Hitler na Wafuasi Wake

AMERIKA YONGEYE GUFATIRA IBINDI BIHANO U RWANDA, NI IKI KIBYIHISHE INYUMA?
▶︎

AMERIKA YONGEYE GUFATIRA IBINDI BIHANO U RWANDA, NI IKI KIBYIHISHE INYUMA?

Kangi Lugola Ahoji: "Inakuwaje Mafisadi Wanateka Nchi, Wanaiweka Mfukoni"
▶︎

Kangi Lugola Ahoji: "Inakuwaje Mafisadi Wanateka Nchi, Wanaiweka Mfukoni"

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Mwanzo Mwisho Alichokisema Rais Samia Suluhu Hassan Akizungumza na Wazee wa Dar es Salaam
▶︎

Mwanzo Mwisho Alichokisema Rais Samia Suluhu Hassan Akizungumza na Wazee wa Dar es Salaam

🔴#BREAKING: PRESIDENT SAMIA ANNOUNCES SUSPENSION OF TRAVEL - LEADERS WILL RIDE BUSES - OIL CASE....
▶︎

🔴#BREAKING: PRESIDENT SAMIA ANNOUNCES SUSPENSION OF TRAVEL - LEADERS WILL RIDE BUSES - OIL CASE....

Taarifa ya Captain TESHA yamtoa Rais Samia Machozi! Suluhu, Acha Kapteni Atoe Mwelekeo Wa Tanzania
▶︎

Taarifa ya Captain TESHA yamtoa Rais Samia Machozi! Suluhu, Acha Kapteni Atoe Mwelekeo Wa Tanzania

Katambi Ajitetea na Agizo Lake la Kuzuia Mikutano : 'Sijakiuka Katiba'  Awashukia Vikali CHADEMA
▶︎

Katambi Ajitetea na Agizo Lake la Kuzuia Mikutano : 'Sijakiuka Katiba' Awashukia Vikali CHADEMA

Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,
▶︎

Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,

Bunge Lajadili na Kupitisha Kifungu kwa Kifungu Muswada wa fedha 2026
▶︎

Bunge Lajadili na Kupitisha Kifungu kwa Kifungu Muswada wa fedha 2026

UTASHANGAA TAZAMA WABUNGE WALIVYOPIGA KURA BAJETI MPYA YA SERIKALI
▶︎

UTASHANGAA TAZAMA WABUNGE WALIVYOPIGA KURA BAJETI MPYA YA SERIKALI

UCHAMBUZI: MBIVU MBICHI KWENYE BAJETI YA SERIKALI, KWANINI KODI?, KWANINI WANGINE WAMEGOMA KUPITISHA
▶︎

UCHAMBUZI: MBIVU MBICHI KWENYE BAJETI YA SERIKALI, KWANINI KODI?, KWANINI WANGINE WAMEGOMA KUPITISHA