Mwanzo Mwisho Hotuba ya Rais Samia Akifungua Bunge la 13,Vijana, Kuunda Tume na Maridhiano Vyatawala
Dodoma: Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amehutubia Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kulizindua. Katika hotuba yake, Rais Samia ametoa pole kwa familia zilizo poteza wapendwa wao katika maandamano yaliyotokea siku ya uchaguzi Oktoba 29, 2025. Aidha, kufuatia vurugu zilizo tokea katika uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025, Rais Dk Samia Suluhu Hassan amesema, anatambua vijana wengi walio kamatwa na kushitakiwa kwa makosa ya uhaini hawakujua wanachokifanya, hivyo amevielekeza vyombo vya Sheria hasa ofisi ya Mkurugenzi wa Mshitaka kuangalia kiwango cha makosa kilicho fanywa na vijana. Amesema kwa wale ambao wanaonekana walifuata mkumbo na hawakudhamiria kufanya uhalifu wawafutie makosa yao. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.

🔴#LIVE: HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIFUNGUA RASMI BUNGE LA 12 JIJINI DODOMA...

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

HOTUBA YA DKT SAMIA SULUHU HASSAN BAADA YA KUAPISHWA KUWA RAIS WA TANZANIA

ጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ (ዶ/ር) በአፍሪካ ቀዳሚ የሆነውን የተቀናጀ የዲጂታል አገልግሎት መተግበሪያ ሲመርቁ ያስተላለፉት መልዕክት

LIVE: RAIS SAMIA ANAHUTUBIA BAADA YA KUMUAPISHA WAZIRI MKUU MPYA MUDA HUU

🔴LIVE: WABUNGE WACHARUKA MUDA HUU BUNGENI! BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA HAMSINI

ግንቦትና ግንቦታውያን! ደረጀ ኃይሌ ከአቶ ፋሲካ ሲደልል ጋር - Benegerachin Lay with Fasika Sidelil @Arts Tv World

Top Channel/ Rama për protestën: Shqipëria nuk mund të merret zvarrë me Hashtag dhe Flamingo, ne...

Rais Dkt. Samia agusia kesi ya Niffer kwenye uhaini wafutiwe mashitaka waliofuata mkumbo DPP waachie

Heche Afunguka Umasikini Mikoa ya Kusini, Agusia Barabara ya Nachingwea Kushindwa Kukamilika

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

🔴#LIVE: HOTUBA YA RAIS SAMIA AKIZINDUA BUNGE LA 13 JIJINI DODOMA MUDA HUU

🔴#Live: RAIS SAMIA - "SERIKALI IMEUNDA TUME KUCHUNGUZA YALIYOTOKEA OKTOBA 29" - ATOA HOTUBA NZITO..

Rais SAMIA atangaza MSAMAHA kwa NIFFER na wenzake

HOTUBA YA RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA BUNGE LA 13 LA TANZANIA

ከአምባሳደር ጄኔራል ባጫ ደበሌ ጋር የተደረገ ቆይታ - ስለሃገር | ETV | EBC | EBCDOTSTREAM

Waziri Mkuu Atoa Neno Mjadala Ulioibuka Kuhusu Matibabu kwa Zanzibar na Tanganyika

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIFUNGUA BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"

