Waziri Mkuu Akanusha Madai ya Dhahabu za Benki Kuu Kuuzwa na Mtu Binafsi: "Wanatengeneza Mitafaruku'

Akijibu swali aliloulizwa juu ya tetesi za dhahabu ya Benki Kuu kuuzwa, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amekanusha jambo hilo. Ambapo ameeleza kuwa dhahabu iliyopo Benki Kuu, ipo kama nyenzo ya sera ya kifedha nchini, ambapo miamala yake lazima ijulikane na taasisi za Kimataifa ikiwemo IMF na Benki ya Dunia. Waziri Mkuu ametoa majibu hayo kufuatia kusambaa kwa tetesi mtandaoni kuwa dhahabu ya Benki Kuu iliuzwa katika moja ya nchi iliyopo Mashariki ya Kati, huku watu binafsi wakitajwa. "Dhahabu haiuzwi na mtu binafsi na wala haiuzwi kwa mtu hivi binafsi. Hawezi mwanaharakati akaona dhahabu iliyouzwa, IMF wasione,World Bank wasione. Na kwamba mtu tu anaweza akaondoka na kikapu hivi kimebeba dhahabu. Hayo ni mambo tu ya watu wenye ajenda rasmi ya kutengeneza mitafaruko na kutengeneza chuki ndani ya nchi na kutengeneza mizozo," alieleza Waziri Mkuu. Toka Benki Kuu ianze kununua dhahabu manamo Oktoba 2023, imeweza kukukusanya dhahabu takribani Tani 27.5 mpaka kufikia mwezi Juni 2026. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Kutuunga mkono: https://thechanzo.com/support/ Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2026 © All Rights Reserved.

DR KHALID AONGEA KWA MASIKITIKO JUU YA KINACHOENDELEA HIVI SASA
▶︎

DR KHALID AONGEA KWA MASIKITIKO JUU YA KINACHOENDELEA HIVI SASA

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

LIVE: RAIS SAMIA ATEMA CHECHE MBELE YA RAIS NETUMBO afunguka MAZITO
▶︎

LIVE: RAIS SAMIA ATEMA CHECHE MBELE YA RAIS NETUMBO afunguka MAZITO

The big resignations | Newsfile
▶︎

The big resignations | Newsfile

🔴#LIVE : HECHE,MNYIKA,WANAUNGURUMA MUDA HUU / CHADEMA WATUA KWA KISHINDO MAKAMBAKO
▶︎

🔴#LIVE : HECHE,MNYIKA,WANAUNGURUMA MUDA HUU / CHADEMA WATUA KWA KISHINDO MAKAMBAKO

"Bandit Who Killed General Rabe Is Known To Govt" — Tinubu In Panic Mode | Prof Yusuf
▶︎

"Bandit Who Killed General Rabe Is Known To Govt" — Tinubu In Panic Mode | Prof Yusuf

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

‘Maneno ya Simai yana viashiria vya Uzandiki, Uzabizabina na Uchizi’ Asema Mbunge Viti Maalum Ruvuma
▶︎

‘Maneno ya Simai yana viashiria vya Uzandiki, Uzabizabina na Uchizi’ Asema Mbunge Viti Maalum Ruvuma

Polisi Waonya Juu ya Maandamano ya Sabasaba: Tunafuatilia Kwa Karibu Sana
▶︎

Polisi Waonya Juu ya Maandamano ya Sabasaba: Tunafuatilia Kwa Karibu Sana

WAZIRI MKUU ajibu hili linalotajwa UBAGUZI ZANZIBAR kwa BARA, ISHU YA MUUNGANO "hili lisitugawe"
▶︎

WAZIRI MKUU ajibu hili linalotajwa UBAGUZI ZANZIBAR kwa BARA, ISHU YA MUUNGANO "hili lisitugawe"

MBUNGE ALIYESEMA BODABODA NA MACHINGA WALIPE 1000 KWA SIKU AKUTANA NA KIGINGI KIZITO MBEYA
▶︎

MBUNGE ALIYESEMA BODABODA NA MACHINGA WALIPE 1000 KWA SIKU AKUTANA NA KIGINGI KIZITO MBEYA

මෛත්‍රී කලකට පසු කට අරී | Ada Derana
▶︎

මෛත්‍රී කලකට පසු කට අරී | Ada Derana

🔴DIRECT L'invité de #MNF: Cheikh Yérim sur la décison du CC; Sonko sur la dette; Gestion du pays
▶︎

🔴DIRECT L'invité de #MNF: Cheikh Yérim sur la décison du CC; Sonko sur la dette; Gestion du pays

''Mimi ndio mwenye Zanzibar ID,''' WAZIR KITWANA AWASHUKIA DR NASSRA NA PROF OMAR
▶︎

''Mimi ndio mwenye Zanzibar ID,''' WAZIR KITWANA AWASHUKIA DR NASSRA NA PROF OMAR

MBUNGE MZANZIBARI AFICHUA TUKITAKA KUKOPA TANGANYIKA LAZIMA TUWAPIGIE MAGOTI NA HAWATAKI KUTUKOPESHA
▶︎

MBUNGE MZANZIBARI AFICHUA TUKITAKA KUKOPA TANGANYIKA LAZIMA TUWAPIGIE MAGOTI NA HAWATAKI KUTUKOPESHA

🔴LIVE: CHADEMA WANAUNGURUMA MAKAMBAKO, JOHN HECHE NA MNYIKA MUDA HUU
▶︎

🔴LIVE: CHADEMA WANAUNGURUMA MAKAMBAKO, JOHN HECHE NA MNYIKA MUDA HUU

Waziri Mkuu Atoa Neno Mjadala Ulioibuka Kuhusu Matibabu kwa Zanzibar na Tanganyika
▶︎

Waziri Mkuu Atoa Neno Mjadala Ulioibuka Kuhusu Matibabu kwa Zanzibar na Tanganyika

YOU JUST WANT TO BE SEEN ON TV! Ichung'wa Cold war with MPs debating Budget
▶︎

YOU JUST WANT TO BE SEEN ON TV! Ichung'wa Cold war with MPs debating Budget

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO
▶︎

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

Nilipata Hasara ya Milioni 18, Nikaanza Upya | Lilian
▶︎

Nilipata Hasara ya Milioni 18, Nikaanza Upya | Lilian